Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Rada: Hotuba ya Kisiasa Katika Jiji la Port Sudan: (Uislamu Umeitatuaje Tatizo la Kupanda kwa Bei)

Rada: Hotuba ya Kisiasa Katika Jiji la Port Sudan: (Uislamu Umeitatuaje Tatizo la Kupanda kwa Bei)

Rada News Chini ya kichwa hiki, Hizb ut-Tahrir / Wilaya ya Sudan leo Jumatatu tarehe 27 Dhul-Hijja 1446 Hijria, ambayo inalingana na 23/06/2025 Miladia, ilitoa hotuba yake ya kisiasa ya kila wiki, mbele ya Hoteli ya Haramain katika Soko Kuu katika jiji la Port Sudan. Mzungumzaji, Profesa Muhammad Jami Abu Ayman, alizungumzia tatizo la kupanda kwa bei ambalo watu wa Sudan wanakumbana nalo, na jinsi gani si hivyo tu bali binadamu wote wanakumbana na kupanda kwa bei kutokana na udhibiti wa mifumo ya kibepari ya kidemokrasia iliyopo duniani,

263 / 10603