Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Mivuto ya Kimagharibi kwa Vijana Waislamu: Madhara Yake na Njia za Kukabiliana Nayo

Mivuto ya Kimagharibi kwa Vijana Waislamu: Madhara Yake na Njia za Kukabiliana Nayo

Katika mazingira haya ya msisimko wa umma na mwanzo wa kuamka kwa umma, Magharibi, kama kawaida yake, ililenga kuzima moto wa kuamka na kuwagandisha wamiliki wake, hivyo iligeukia kupanda kukata tamaa ndani yao na kunyonya kila tone la matumaini kutoka mioyoni mwao kupitia kufunika matamshi ya watu wa haki na maandamano yao, na kuangazia - iwe katika vyombo vya habari au vinginevyo - maandamano ya Magharibi na misimamo yake kuhusu Gaza, kiasi cha kuwafanya wafikiri kwamba watu kumi kutoka Magharibi ni bora kuliko Waislamu bilioni mbili!

Kushi News: Mamlaka za Usalama katika Mji wa Al Qadarif Zawakamata Vijana wa Hizb ut-Tahrir Kuinusuru Taifa la Kiyahudi!

Kushi News: Mamlaka za Usalama katika Mji wa Al Qadarif Zawakamata Vijana wa Hizb ut-Tahrir Kuinusuru Taifa la Kiyahudi!

Kufuatia hatua ya vijana wa Hizb ut-Tahrir katika mji wa Al Qadarif kutoa hotuba ya hadhara katika soko la Al Qadarif, karibu na hospitali ya meno, jana Alhamisi tarehe 23 Dhul-Hijjah 1446 Hijria, sawia na 19/6/2025 Miladia, ambapo Ustadh Awad Muhajir, mwanachama wa Hizb ut-Tahrir, alizungumza kuhusu uhalisia wa vita na taifa la Kiyahudi, na furaha ya Waislamu kwa kulishambulia taifa hili, na kiu ya watu ya ushindi dhidi ya taifa hili linalokalia ardhi takatifu, msafara wa Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ, akisisitiza ulazima wa kusimamisha Khilafah Rashidah kwa njia ya Utume, ambayo itaikomboa Palestina,

269 / 10603