Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Kwa sababu ya usaliti wa watawala wa Kiislamu, wanyama wawili kutoka kwa wanyama wakali wa Amerika, Shirika la Kiyahudi na Uhindi, walithubutu kuvunja utakatifu wa nchi za Waislamu

Kwa sababu ya usaliti wa watawala wa Kiislamu, wanyama wawili kutoka kwa wanyama wakali wa Amerika, Shirika la Kiyahudi na Uhindi, walithubutu kuvunja utakatifu wa nchi za Waislamu

Hizb ut-Tahrir / Wilaya ya Bangladesh, leo Ijumaa, Juni 20, 2025, baada ya sala ya Ijumaa, iliandaa mikesha na maandamano makubwa katika idadi ya misikiti katika mji mkuu Dhaka na jiji la Chittagong, kulaani mauaji yanayoendelea huko Gaza, ya kuzingirwa, njaa na mauaji ya halaiki, pamoja na uchokozi wa hivi karibuni wa shirika haramu la Kiyahudi dhidi ya Iran. Ifuatayo ni muhtasari wa hotuba zilizotolewa katika hafla hizo:

Rada: Hizb ut-Tahrir Wilaya ya Sudan Yatoa *Taarifa kwa Vyombo vya Habari* Muhimu

Rada: Hizb ut-Tahrir Wilaya ya Sudan Yatoa *Taarifa kwa Vyombo vya Habari* Muhimu

Kufuatia vijana wa Hizb ut-Tahrir katika mji wa Al Qadarif kutoa hotuba ya hadhara katika soko la Al Qadarif, karibu na Hospitali ya Meno, jana Alhamisi, 23 Dhul-Hijjah 1446 Hijria, sawia na 19/6/2025 Miladia, ambayo ndani yake Ustadh Awad Muhajir, mwanachama wa Hizb ut-Tahrir, alizungumzia uhalisia wa vita na chombo cha Kiyahudi, na furaha ya Waislamu kulipiga chombo hicho, na kiu ya watu ya ushindi dhidi ya chombo hicho kinachokalia ardhi takatifu, Masra ya Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ, akisisitiza ulazima wa kusimamisha Khilafah Rashidah kwa njia ya Utume,

Abu Wadaha News: Taarifa kutoka Hizb ut-Tahrir Kuhusu Kukamatwa kwa Mmoja wa Wanachama Wake

Abu Wadaha News: Taarifa kutoka Hizb ut-Tahrir Kuhusu Kukamatwa kwa Mmoja wa Wanachama Wake

Kufuatia vijana wa Hizb ut-Tahrir katika mji wa Al Qadarif kufanya mazungumzo ya umma katika soko la Al Qadarif, karibu na Hospitali ya Meno, Alhamisi iliyopita 23 Dhul Hijjah 1446 AH, sawia na 19/6/2025 AD, ambapo Ustadh Awad Muhajir, mwanachama wa Hizb ut-Tahrir, alizungumza kuhusu hali halisi ya vita na shirika la Kiyahudi, na furaha ya Waislamu kwa kulipiga shirika hili, na kiu ya watu ya ushindi dhidi ya shirika hili linalokalia ardhi takatifu,

271 / 10603