Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Shirika la Fedha la Kimataifa Linanyoosha Mkono Wake Kunyonga Uchumi wa Yemen Ili Kumiliki Rasilimali Zetu za Kiuchumi

Shirika la Fedha la Kimataifa Linanyoosha Mkono Wake Kunyonga Uchumi wa Yemen Ili Kumiliki Rasilimali Zetu za Kiuchumi

Gavana wa Benki Kuu ya Aden Ahmed Al-Maabaqi alikutana katika mji mkuu wa Marekani, Washington, mnamo 2025/10/15, na mkuu wa ujumbe wa Shirika la Fedha la Kimataifa nchini Yemen, Esther Perez Ruiz, na mwakilishi wa shirika hilo, Mohamed Moeit, akifuatana na Naibu Waziri wa Fedha Hani Wahab, na Naibu Katibu wa Wizara ya Fedha Abdul Qadir Amin. Hii ilifuatiwa na mkutano wa Waziri wa Mipango na Ushirikiano wa Kimataifa, Gavana wa Yemen katika Kundi la Benki ya Dunia, Waed Badhib na Ricardo Puliti, Makamu wa Rais wa Shirika la Fedha la Kimataifa

Nani Mwingine Zaidi ya Khalifa wa Waislamu Ataweza Kuvunja Kiburi cha Trump na Kumweka Katika Hali Yake na Kumdhalilisha?

Nani Mwingine Zaidi ya Khalifa wa Waislamu Ataweza Kuvunja Kiburi cha Trump na Kumweka Katika Hali Yake na Kumdhalilisha?

Miongoni mwa mambo ambayo yamewafanya mbwa wa Kirumi kuwa jeuri katika ardhi na kujitukuza na kujigamba, na miongoni mwao ni mbwa wa zama zake, Trump, ambaye anadhihaki, anafanya mzaha, anachukia na anatishia, ambacho kimewafanya wawe na kiburi hiki ni kukosekana kwa Khalifa ambaye wanapigana nyuma yake na wanajikinga naye, mlinzi wa eneo na mlinzi wa dola ya Kiislamu dhidi ya wenye kiburi na wajinga wenye majivuno.

Je, Watu wa Gabes Wanapaswa Kulipa Kodi ya Kushindwa kwa Sera ya Kiuchumi ya Dola ya Kitaifa?

Je, Watu wa Gabes Wanapaswa Kulipa Kodi ya Kushindwa kwa Sera ya Kiuchumi ya Dola ya Kitaifa?

Haikuwasaidia watu wa Gabes mbele ya mamlaka zinazofuatana nchini Tunisia, kwani wamekuwa miongoni mwa watu walioathirika zaidi nchini humo na saratani, na magonjwa na milipuko mingi iliyosababishwa na kiwanja cha kemikali ambacho kiliwekwa kwenye mji wao tangu mwaka 1972, ambapo viwango vya maambukizi ya magonjwa ya kupumua na ngozi, kasoro za kuzaliwa, na matatizo ya figo, ini na mifupa vimeongezeka, hadi mvuke na gesi zenye sumu zinazotoka kwenye kiwanja hicho zimekuwa chanzo cha kukosa hewa kwa wingi miongoni mwa wanafunzi,

Watu wa Bangladesh wanaopenda Uislamu Wamekataa Mkataba wa Julai, Uliojengwa Juu ya Ulaikini wa Magharibi na Demokrasia Yake ya Uongo, na Wanadai Mkataba wa Madina Uliojengwa Juu ya Itikadi Yake Safi ya Kiislamu

Watu wa Bangladesh wanaopenda Uislamu Wamekataa Mkataba wa Julai, Uliojengwa Juu ya Ulaikini wa Magharibi na Demokrasia Yake ya Uongo, na Wanadai Mkataba wa Madina Uliojengwa Juu ya Itikadi Yake Safi ya Kiislamu

Mnamo tarehe 17 Oktoba 2025, wasomi wa nchi wanaotamani madaraka walisaini Mkataba wa Julai (suluhu ya kisiasa iliyoandikwa kwa kuzingatia imani na mfumo wa kidemokrasia bandia wa kikoloni wa makafiri wa Magharibi, haswa Amerika na Uingereza) na kutoa mfano mwingine mbaya wa uhaini kwa Uislamu na Waislamu, na uaminifu kwa Magharibi.

Utengenezaji wa Wanamgambo: Sura ya Dhahiri na ya Siri katika Mazingira ya Vita

Utengenezaji wa Wanamgambo: Sura ya Dhahiri na ya Siri katika Mazingira ya Vita

Katika kivuli cha vita vinavyoikumba Sudan, jambo la utengenezaji wa wanamgambo limejitokeza kama mojawapo ya zana hatari zaidi zinazotumiwa chini ya kivuli cha msaada wa kijeshi, huku likiwa limebeba ndani yake mbegu za kuvunjika na mgawanyiko wa kitaifa. Jambo hili si geni, bali ni mwendelezo wa mbinu ya awali iliyotumiwa na Vikosi vya Msaada wa Haraka, ambavyo vilianza kama nguvu saidizi kisha vikageuka kuwa nguvu sambamba, na kuishia kuasi dhidi ya dola.

49 / 10603