Neno la Msemaji Rasmi wa Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan Katika Mkutano na Waandishi wa Habari Jumamosi 26 Rabi' al-Akhir 1447 Hijria, inayoambatana na 2025/10/18 Miladia, yenye kichwa: (Mvurugano wa Serikali katika Jinsi ya Kudhibiti Uuzaji wa Dhahabu na Athari Yake kwa Thamani ya Pauni)
Baada ya kujitenga kwa Sudan Kusini mwaka 2011 Miladia, na Sudan kupoteza zaidi ya 75% ya mauzo yake ya mafuta, dhahabu ilijitokeza kama mbadala mkuu wa kulipia hasara hii, na kupata mapato kutoka kwa sarafu ngumu, na uchimbaji madini ulikuwa umeenea sana nchini Sudan baada ya mwaka 2008 Miladia takriban,