Mtazamo wa Kisiasa Kuhusu Dalili za Saa - 05
Mtazamo wa Kisiasa Kuhusu Dalili za Saa - 05
Mtazamo wa Kisiasa Kuhusu Dalili za Saa - 05
Maisha yako yanaenda kisha ukurasa unabaki (
Msimamo wa Amerika wa kutaka kusitishwa kwa mapigano huko Gaza haukuwa zao la ubinadamu wa ghafla, wala kuamka kwa hisia iliyokuwa imelala kwa muda mrefu; bali ilikuwa ni matokeo ya hesabu sahihi zinazolazimishwa na mtandao wa migogoro tata iliyotengenezwa na Amerika na kulishwa kwa miongo kadhaa.
Televisheni ya Al-Waqiyah: Kipindi cha Masuala ya Umma "Hatima ya Kanda Chini ya Mvurugiko wa Marekani!"
Kituo cha Televisheni cha At-Tanasuh: Hukumu ya Sharia kuhusu mpango wa Trump wa kumaliza vita!
Shughuli za Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa zilianza, Jumatatu jioni, 2025/9/22, na suala la utambuzi wa taifa la Palestina liliongoza mkutano wa mwaka wa themanini wa mikutano, huku Saudi Arabia na Ufaransa zikiwa nyuma ya mpango huo na kuongoza pamoja, huku kukiwa na matarajio ya utambuzi zaidi wa taifa la Palestina. Ufaransa ilitambua rasmi taifa la Palestina, na kuwa nchi ya hivi karibuni kujiunga na kundi la nchi ambazo zimechukua hatua hii. Urais wa mkutano wa suluhu ya mataifa mawili pia ulisisitiza umuhimu wa "Azimio la New York" ambalo lilipata uungwaji mkono wa kipekee kutoka kwa Baraza Kuu,
Mgogoro wa mafuriko uliokumba baadhi ya vijiji vya Misri na kuzamisha nyumba za makumi ya familia, ni mfano tu wa mgogoro mkubwa na hatari zaidi, unaowakilishwa na kupuuzwa kwa mfumo wa haki za maji za Misri, na kupuuzwa kwake sugu kwa masuala ya watu, na usimamizi wa rasilimali za nchi kwa njia ambayo inalinda usalama wake na maslahi ya watu wake. Mgogoro huu haukuzaliwa kwa sasa, bali ni matokeo ya mkusanyiko mfululizo wa sera zilizoshindwa, ambazo ziliinyima serikali zana za ulinzi wa maji, na kufungua mlango kwa Ethiopia kudhibiti mshipa wa uhai wa Misri na Sudan kupitia Bwawa la Renaissance.
Haiwafichi wafanyikazi waaminifu kwa uamsho wa Umma wa Kiislamu kwa Uislamu hali ambayo mambo ya Umma yamefikia kutokana na mataifa kuukalia kama vile walaji wanavyokalia bakuli lake, na hauwafichi waangalizi yale ambayo Umma umefikia ya uwazi katika uhalisia wake na kujua sababu ya majanga na maumivu yake, ambayo imekuwa inajulikana kwake, imefungwa kwa kafiri mkoloni, na watawala wasaliti, na mifumo ambayo kafiri mkoloni ameweka juu ya shingo zao kuwatesa, na kuiba kheri zao, na kuwazuia kukombolewa kutoka kwa utawala wake kwa kuanzisha ukhalifa wao juu ya mfumo wa unabii.
Hizb ut-Tahrir / Wilaya ya Bangladesh inalaani vikali maneno ya Profesa Yunus katika Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa: "Ni kwa msingi wa mipaka ya kabla ya 1967 tu, huku Israeli na Palestina zikiishi pamoja kwa amani, ndipo haki inaweza kupatikana." Huku Wapalestina wakiangamizwa mbele ya macho yetu na Wayahudi wananyang'anya asilimia 78 ya Palestina, vipi haki inaweza kupatikana kwa kuruhusu taasisi yao kuishi kando ya dola la Palestina?! Kwa nini tunaita baadhi ya vijigazeti ndani ya taasisi ya Kiyahudi inayokalia kwa mabavu dola la Palestina, wakati halina hata jeshi lake lenyewe?!
Jimbo la Sudan: Kongamano la Masuala ya Umma "Nani Anaamua Kusimamisha Vita?!"