Kupunguzwa kwa Saa za Mafunzo ya Kiislamu kwa Faida ya Muziki na Michezo katika Shule za Syria!
Habari:
Habari:
Habari:
Habari:
Mhadhara wa Sita wa Wasifu wa Mtume - Na walikaribia kukufitini
null
Inasimuliwa kwamba panya alimwona ngamia na akamvutia, hivyo akavuta hatamu yake na akamfuata, alipofika kwenye mlango wa nyumba yake, ngamia alisimama akitafakari udogo wa mlango wa nyumba ya panya ikilinganishwa na ukubwa wake mkubwa sana.
Unasubiri hotuba ya Rais wa Marekani Trump, unasubiri hotuba ya Waziri Mkuu wa Kiyahudi Netanyahu, unasubiri kwa hamu watakayosema, wengine wanasubiri kwa sababu wanajua kwa hakika kwamba hatima ya watu wote inategemea hotuba hii!
Jimbo la Tunisia: Toleo la 561 la Gazeti la Ukombozi Latolewa
Aya tukufu, na kila kitabu cha Mwenyezi Mungu ni kitukufu, inabeba kanuni madhubuti ya kisheria, na kanuni kutoka katika kanuni za uhuru katika Uislamu: kwamba kafiri asiwe na mamlaka juu ya Muislamu, si katika hukumu, wala uchumi, wala fikra, wala usalama...
Siku za hivi karibuni zimeshuhudia mfululizo wa matamshi yaliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri Badr Abdul-Ati wakati akishiriki katika makongamano ya kimataifa, maarufu zaidi kati yao ni msisitizo wake juu ya "umuhimu wa Israeli kuishi kwa amani na kuunganishwa katika eneo hilo", na "utayari kamili wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israeli" pamoja na Saudi Arabia na nchi nyingine, na tamko lake kwamba "suluhisho pekee la siku zijazo ni kuanzisha taifa la Palestina lililovuliwa silaha ambalo linaishi kwa amani na Israeli"... Matamshi haya yanaonyesha waziwazi mbinu ambayo serikali zilizopo katika nchi za Waislamu zinafuata;