Jarida la Ar-Raya: Kuomba Wayahudi hakukomboi ardhi wala hakuhifadhi usalama
Rais wa Syria wa kipindi cha mpito, Ahmed Al-Shara, alitoa hotuba mbele ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa huko New York, Jumatano, 24/9/2025, katika muonekano wa kwanza wa rais wa Syria tangu enzi ya Nur al-Din al-Atassi mwaka 1967. Al-Shara alieleza, wakati wa hotuba yake, maono yake ya kipindi cha mpito, akielekeza shukrani kwa nchi ambazo alisema ziliunga mkono watu wa Syria, na aliwataja haswa Uturuki, Qatar, Saudi Arabia, nchi zote za Kiislamu, Amerika, na Umoja wa Ulaya. Aliongeza kuwa "vitisho vya (Israel) dhidi ya nchi yetu havijapungua tangu Desemba 8 hadi leo." Hata hivyo,