Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Mpango wa Trump ni sumu kali, na uvamizi wa Kimarekani wa kimataifa wa Gaza, na uhalifu mkubwa unaofanywa na watawala wa Waislamu

Mpango wa Trump ni sumu kali, na uvamizi wa Kimarekani wa kimataifa wa Gaza, na uhalifu mkubwa unaofanywa na watawala wa Waislamu

Kujisalimisha na kuondoa silaha, kurejesha mateka na mabaki ya maiti, na uvamizi unaoongozwa na Amerika na kuongozwa na Trump kwa jina la Baraza la Amani, na kuteuliwa kwa mchukia Uislamu Tony Blair, na kutekelezwa na tawala za eneo hilo, hizo ndizo sifa za mpango mpya wa Trump ambao alitangaza na kuwashukuru viongozi wa nchi za Kiarabu na Kiislamu na washirika wake huko Uropa kwa kuuitikia, na alitangaza kuwa viongozi wa eneo hilo wanashiriki kikamilifu katika mpango wa amani.

Waacheni Watu Wafanye Uamuzi Wao, Enyi Watawala Wazembe!

Waacheni Watu Wafanye Uamuzi Wao, Enyi Watawala Wazembe!

Hatukushangazwa, kama ambavyo Umma wa Kiislamu haukushangazwa, na kukaribisha kwa wasaliti watawala wa Waislamu mpango wa Rais wa Marekani Donald Trump wa kupoteza Gaza, kwani wametuzoesha ulegevu, bali kula njama na makafiri wakoloni kuhusu masuala yetu, na Trump alikuwa amekutana na idadi yao huko New York pembezoni mwa mikutano ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, Jumanne 2025/9/23, hivyo walimsifu, na wakasema wanategemea kwake kumaliza vita dhidi ya Gaza, na mara tu Trump alipotangaza mpango wake wa kikoloni, walikimbilia kuukaribisha,

83 / 10603