Kushi News: Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan Yafanya Mkutano Mkubwa wa Umma huko Omdurman
Hizb ut-Tahrir, Wilaya ya Sudan ilifanya mkutano mkuu wa umma leo Ijumaa, Septemba 26, 2025, mbele ya Msikiti wa Kale katika Thawra 14. Alizungumza Ustadh/ Ahmed Abu Bakr, wakili; mwanachama wa Baraza la Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan. Tukio hilo la umma linakuja kama sehemu ya kampeni kubwa iliyozinduliwa na chama kukwamisha mpango wa Marekani wa kutenganisha Darfur. Mzungumzaji alieleza kwa hadhira hatari ya mpango huo.