Kuomba Umoja wa Mataifa Kutatua Migogoro Ni Ujinga wa Kisiasa na Kilio Jangwani
Habari:
Habari:
Habari:
Habari:
Mfululizo wa Vipindi - Jinsi Ukhalifa Ulivyobomolewa - Kipindi cha 25
Kutoka kwa Jabir bin Abdillah, amesema: Nimemsikia Mtume صلى الله عليه وسلم akisema: "Mtu anapoingia nyumbani kwake, kisha akamtaja Allah anapoingia na anapokula chakula chake, shetani husema: Hamna pa kulala kwenu wala chakula cha jioni, na anapoingia, asimtaje Allah anapoingia, shetani husema: Mmeipata mahali pa kulala, na asipomtaja Allah anapokula chakula chake, husema: Mmeipata mahali pa kulala na chakula cha jioni."
Jarida la Ar-Rayah: Vichwa vya habari muhimu vya toleo (566)
Kulingana na sheria zinazoongoza mfumo wa sasa, kila taifa lina haki ya kuchagua sheria zinazowaongoza, na kwa hivyo, kila taifa lina haki ya kuwa na dola. Dhana hii ilisababisha wimbi la mataifa mapya baada ya Vita vya Pili vya Dunia, ambapo mataifa yaliyokuwepo yaligawanyika, na hivyo kusababisha machafuko tunayoshuhudia leo.
Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan inafurahia kuwaalika wanahabari, wanasiasa, na wote wanaopenda masuala ya umma, kuhudhuria na kushiriki katika kipindi kipya cha saluni ya kisiasa.
[Televisheni ya Al-Waqiyah]