Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Kufichuliwa kwa Uongo Mkubwa: Ubepari Kati ya Ndoto na Ukweli

Kufichuliwa kwa Uongo Mkubwa: Ubepari Kati ya Ndoto na Ukweli

Ukweli usiopingika ni kwamba ulimwengu mzima sasa unagundua suala la uwongo kwa watawala wa Magharibi, wakiongozwa na Amerika. Je, ugunduzi wao wa ukweli huu sasa ni dalili ya ujinga? Au je, walichoishi kutokana na uongo katika dhana yao ya kidemokrasia na uhuru ndio sababu ya kutoelewa kanuni yao? Je, ni kweli kwamba Trump anasema uongo au anadhani anasema uongo? Na ni kipimo na mizani gani ambayo inapaswa kutumika kuamua ukweli kutoka kwa uwongo? Je, Amerika, Ulaya na viongozi wa dunia wamekuwa waaminifu kwao wenyewe, watu wao na dunia tangu kuanzishwa kwa kanuni ya kibepari na kutawala kwake duniani?

Utambuzi wa Dola ya Palestina Ni Kukubali Wayahudi Kunyakua 78% ya Palestina!

Utambuzi wa Dola ya Palestina Ni Kukubali Wayahudi Kunyakua 78% ya Palestina!

Uingereza, Kanada, Australia na Ureno zimetambua kile kinachoitwa "Dola la Palestina," na zimefuatwa na idadi ya nchi katika Kongamano la Kimataifa la Ngazi ya Juu katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lililofanyika Septemba 22-30, 2025, likiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Utambuzi huu umekubaliwa na watawala vibaraka wa Waislamu, na pia Shirika la Ushirikiano wa Kiislamu na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, na cha ajabu ni kwamba unakubaliwa na kukaribishwa na mashirika ya Kipalestina, na wanauchukulia kama matunda ya msimamo wao, kana kwamba Palestina imekombolewa, na chombo cha Kiyahudi kimeondolewa!

98 / 10603