Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Jibu Lingine kwa Uongo wa Mwandishi Ibrahim Malik dhidi ya Hizb ut-Tahrir

Jibu Lingine kwa Uongo wa Mwandishi Ibrahim Malik dhidi ya Hizb ut-Tahrir

Baada ya kampeni kubwa iliyoongozwa na Hizb ut-Tahrir / Wilaya ya Sudan kufeli mpango wa kutenganisha Darfur kwa kuzingatia hukumu ya kisheria, ambayo inakataza kurarua nchi za Waislamu, bali Uislamu ulikataza Waislamu kuwa na makhalifa wawili, dalili ya ulazima wa umoja wa Umma, na dhambi kubwa katika utengano wake, kama alivyosema Mtume ﷺ: "IKIWA WATU WAWILI WATAAPISHWA KWA UKHALIFA, MUUWE WA MWISHO KATIKA WAO" Imesimuliwa na Muslim kutoka kwa Abu Said al-Khudri, na Muslim pia amesimulia kutoka kwa Arfaja bin Asad kutoka kwa Mtume ﷺ ambaye alisema: "YEYOTE ATAKAYEWAFUATA NA AMRI YENU YOTE IKO JUU YA MTU MMOJA, ANAYETAKA KUVUNJA BAKORA YENU, AU KUTAWANYA JAMAA YENU, BASI MUUWE", ilikuwa inafaa kwa wasomi na maimamu kusimama kwa nguvu kupinga mpango huu na kuunga mkono kampeni hii inayoongozwa na Hizb ut-Tahrir dhidi ya kujitenga.

Kwa Uislamu, Watu wa Sudan Huunganishwa katika Chungu Moja na Kuishi Maisha Tukufu na ya Haki Chini ya Serikali Yake

Kwa Uislamu, Watu wa Sudan Huunganishwa katika Chungu Moja na Kuishi Maisha Tukufu na ya Haki Chini ya Serikali Yake

Idadi ya watu wa Sudan inakadiriwa kuwa milioni 49.4, kulingana na viashiria vya Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu la mwaka 2024, ambapo 96% yao ni Waislamu. Sudan pia ina jumuiya ndogo ya Kikristo na watu wanaofuata dini za jadi. Jamii nchini Sudan inaundwa na makabila yanayotokana na asili ya Kiarabu, Kiafrika, na Nubian, yanayorudi nyuma zaidi ya makundi 500 ya kikabila. Waarabu ndio kabila kubwa, wakiwa na asilimia 70, pamoja na makabila mengine kama vile Beja, Nubian, Fulata, Jabarta, Fur, Masalit, na mengineyo.

99 / 10603