Ndoto ya Taifa la Palestina: Kinyago cha Magharibi Kudumisha Taifa la Kiyahudi
Habari:
Habari:
Habari:
Binadamu ndiye kiumbe bora zaidi, kwa sababu anajitofautisha na wengine kwa akili yake, kwa hivyo ilikuwa lazima tufafanue akili, na fikra ambayo ni tunda la akili, kama vile maarifa ni tunda la fikra.
Mfululizo wa Vipindi - Jinsi Ukhalifa Ulivyobomolewa - Sehemu ya 23
Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir inafurahia kuwapa wafuatiliaji na wageni wa kurasa za Ofisi Kuu ya Habari diski mpya (DVD) katika lugha tatu yenye kichwa:
Katika historia yote, wingi wa makabila nchini Sudan haujawahi kuwa sababu ya migogoro na mapigano, bali sababu ya hayo ni mzozo mkali wa kisiasa na kijeshi kati ya nchi za kikoloni na vibaraka wao, ambao umeangamiza mazao na vizazi, hasa baada ya kuzigawa nchi na kupanda mbegu za fitina na mapigano ya kikabila na kidugu kama inavyotokea leo, na kama ilivyokuwa ikitokea katika zama za ujahiliya. Tangu kupotea kwa Uislamu na kuangushwa dola yake, watu wamerudi kwenye hukumu za kijahiliya wakipigana kwa misingi ya ukabila ambao Mtume ﷺ alikataza na kusisitiza kuhusu hilo, aliposema: "Mwenye kupigana chini ya bendera ya upofu, akiita ubaguzi au anaghadhibika kwa ajili ya ubaguzi, basi kifo chake ni cha kijahiliya."
Mshauri wa Rais wa Marekani kuhusu masuala ya Afrika na Mashariki ya Kati, Mossaad Boulus, amesema ramani iliyoidhinishwa hivi karibuni na kundi la Nne kukomesha vita nchini Sudan inajumuisha muda maalum. (Sudan Tribune, 17/9/2025)
Televisheni ya Al-Waqiyah: Haki ni Uislamu!
Idadi inayoongezeka ya nchi za Magharibi inakuza wito wao wa suluhu la mataifa mawili kama hatua ya kimaadili na ya haki. Lakini mtu anayeangalia nyuma ya pazia anaona kwamba jambo hilo halihusiani na huruma kwa Wapalestina au kutambua "haki yao ya uhuru". Badala yake: ni hatua ya dharura ya kisiasa, inayoendeshwa na shinikizo kutoka kwa watu wao na upotezaji unaokuja wa uhalali wa utawala wa Kiyahudi.