Habari na Maoni

Mpango wa Musaiki: Marekebisho ya Mkakati Uliofeli na Jaribio Jipya la Kuwadhibiti Taliban

Mpango wa Musaiki: Marekebisho ya Mkakati Uliofeli na Jaribio Jipya la Kuwadhibiti Taliban

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa hivi karibuni lilifanya kikao maalum kujadili hali nchini Afghanistan. Katika kikao hicho, Rosa Otunbayeva, mkuu wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Usaidizi nchini Afghanistan (UNAMA), aliwasilisha mfumo mpya mpana unaoitwa "Mpango wa Musaiki". Alisisitiza kuwa mpango huu haulengi "kuhalalisha hali nchini Afghanistan", bali unalenga kukuza maslahi ya kweli ya watu wa Afghanistan.

13 / 1315