Kuangamia kwa Taasisi ya Kiyahudi Siyo Udanganyifu
Gazeti la Maariv lilisema, Jumatatu: "Kwa mara ya kwanza, jeshi linakiri kwamba kupungua kwa nguvu zake ni kubwa, lakini ni ndogo ikilinganishwa na wigo wa majukumu yake, na linakadiria kuwa linakosa takriban askari 7,500." Gazeti hilo liliongeza: "Jeshi kwa sasa linakabiliwa na upungufu wa maafisa 300 katika nafasi za viongozi wa vikosi katika mfumo wa mapigano wa vikosi vya ardhini." Jeshi, kulingana na Maariv, lilikiri kwamba "ni vigumu kuwashawishi askari wazuri kujiunga na kozi ya maafisa, na ili kukabiliana na pengo hilo, wasimamizi wakongwe wameteuliwa kuwa viongozi wa vikosi kwa niaba." (Raai Al-Youm)