الجولة الإخبارية 12-02-2016
الجولة الإخبارية 12-02-2016

العناوين:   ·        نظام آل سعود يستعد لقتال أهل سوريا ·        تركيا تعترض، ولكنها في النهاية تخضع لإملاءات أمريكا ·        قديروف عميل روسيا يرسل جواسيس إلى سوريا ·        الهند تنفذ دوريات بحرية مع أمريكا ضد الصين

0:00 0:00
Speed:
February 13, 2016

الجولة الإخبارية 12-02-2016

الجولة الإخبارية 12-02-2016

العناوين:

  • ·        نظام آل سعود يستعد لقتال أهل سوريا
  • ·        تركيا تعترض، ولكنها في النهاية تخضع لإملاءات أمريكا
  • ·        قديروف عميل روسيا يرسل جواسيس إلى سوريا
  • ·        الهند تنفذ دوريات بحرية مع أمريكا ضد الصين

التفاصيل:

نظام آل سعود يستعد لقتال أهل سوريا

نقلت صحيفة "الشرق الأوسط" السعودية يوم 2016/2/9 تأكيد النظام السعودي على إرسال قوات إلى سوريا لقتال أهل سوريا بذريعة قتال الجماعات الإرهابية، وليس لقتال النظام السوري الإجرامي الذي قتل مئات الآلاف من أبناء المسلمين في سوريا، فقال وزير خارجية السعودية عادل الجبير في لقائه مع نظيره الأمريكي كيري: "إن ثمة مناقشات تتعلق بإرسال فرقة من القوات البرية أو فرقة قوات خاصة للعمل في سوريا إلى جانب التحالف الدولي الذي تقوده أمريكا ضد الجماعات الإرهابية، والسعودية أبدت استعدادها لتوفير قوات خاصة لمثل هذه العمليات إذا تمت". وذكر أن "أمريكا رحبت باستعداد السعودية نشر قوات خاصة لدعم عملية برية محتملة للتحالف الدولي في سوريا" حيث قال إن "الولايات المتحدة كانت مؤيدة وإيجابية جدا بشأن استعداد المملكة لإرسال قوات برية خاصة في حال قرر التحالف الدولي القيام بذلك. وأن المملكة ستقوم بدور رئيسي فيها" ولفت الأنظار إلى أن "فكرة القيام بعملية برية جاءت من واشنطن، وأن أعضاء التحالف البالغ عددهم 65 دولة يتوقعون أن تتولى أمريكا قيادة العملية".

إن النظام السعودي يعلن أنه ينفذ الأوامر الأمريكية وهو مستعد لقتال أهل سوريا مثله في ذلك مثل إيران وحزبها في لبنان وروسيا ونظام الطاغية بشار أسد في خط مواز بذريعة محاربة الجماعات الإرهابية، ويقصدون بذلك الجماعات الإسلامية، بل يقصدون أهل سوريا الذين ثاروا على عميل أمريكا بشار أسد وعلى نظامه العلماني الكافر، وأرادوا أن يقيموا نظام الخلافة الراشدة على منهاج النبوة في بلادهم عقر دار الإسلام. وينتظر النظام السعودي الإشارة من أمريكا للتحرك فيرسل مسلمين من أبناء الحجاز ونجد ليقتلوا إخوتهم في بلاد الشام في سبيل الشيطان الأكبر الذي أصبح قائدهم وقائدا لمجموعة دولية كبيرة كافرة تريد أن تطفئ نور الله، ويأبى الله إلا أن يتم نوره ولو كره الكافرون.

---------------

تركيا تعترض، ولكنها في النهاية تخضع لإملاءات أمريكا

قال مسؤول في وزارة الخارجية التركية إن أنقرة استدعت السفير الأمريكي لديها يوم 2016/2/8 على إثر تصريحات المتحدث باسم الخارجية الأمريكية جون كيربي يوم 2016/2/7 عند سؤاله عن الاختلاف في الرأي بين البلدين قال: "كما تعلمون، نحن لا نعتبر حزب الاتحاد الديمقراطي منظمة إرهابية". وتدعم أمريكا هذا الحزب الذي يقاتل بجانب أمريكا وروسيا ونظام بشار وإيران وحزبها في لبنان ضد الحركات الإسلامية في سوريا التي تعمل على إسقاط النظام العلماني التابع لأمريكا وتدعو إلى إقامة الخلافة وتحكيم الإسلام.

وكان رئيس هذا الحزب الكردي الديمقراطي صالح مسلم قد أعلن عام 2013 أنه اتفق مع إيران وتركيا على محاربة الحركات الإسلامية التي تدعو إلى تحكيم الشريعة الإسلامية في سوريا. وقد سافر إلى تركيا والتقى رئيس مخابراتها آنئذ.

إلا أن تركيا بدأت تعده امتدادا لحزب العمال الكردستاني عندما بدأ يعمل على إقامة كنتونات كردية في سوريا مما أزعجها وتخوفت من أن يكون ذلك مقدمة لإقامة حكم ذاتي للأكراد على غرار ما حصل في العراق، مما يجعله يؤثر على وضع الأكراد في تركيا.

تظهر تركيا أردوغان أنه لا يهمها محاربة هذا الحزب ضد الحركات الإسلامية وضد إقامة حكم الإسلام، فلا يزعجها ذلك لأنها دولة علمانية تحارب هي أيضا تحكيم الإسلام وتتفق مع أي دولة ومع أي حزب في هذا الموضوع، ولكن الناحية القومية تهمها حيث إنها دولة قومية علمانية تعمل على المحافظة على الحدود التي رسمت لها من قبل المستعمرين فيما يعرف باتفاقية سايكس بيكو التي أقرتها معاهدة لوزان عام 1924 التي فرضتها بريطانيا خاصة ومعها الدول المستعمرة الأخرى بعدما ضمنت هدم الخلافة على يد عميلها مصطفى كمال، وتُعرف في تركيا تلك الحدود بحدود "ميللي ميساق" أي حدود الميثاق الوطني القومي الذي حدده مصطفى كمال لجمهورية تركيا معلنا تخليه نهائيا عن كافة أراضي الدولة العثمانية التي كان من المفروض أن يطالب بها ويعمل على تحريرها من المحتلين بصفة تركيا وريثة الدولة العثمانية كما تفعل باقي الدول عندما تُحتل أراضيها.

وتركيا أردوغان في حالة تناقض؛ فهي تسير مع أمريكا وتنفذ لها كل سياساتها وهي تحارب عودة الخلافة وتصر على العلمانية، ولكن أمريكا لم تعبأ في السابق باعتراض تركيا على إقامة إقليم كردستان في شمال العراق، حيث قبلت تركيا بالأمر الواقع وبدأت تعترف وتتعامل مع هذا الإقليم كأنه دولة مستقلة، والآن تعترض تركيا على دعم أمريكا للحزب الديمقراطي الكردستاني الإجرامي وتتخوف مما تخططه أمريكا للأكراد في سوريا، ولا تأبه أمريكا بمعارضة تركيا، وتعرف أن تركيا ستخضع لها وتقبل بالأمر الواقع كما قبلت تركيا أردوغان في كل أمر فرضته أمريكا عليها ومنها مؤخرا بناء جدار عازل بين سوريا وتركيا لمنع وصول العتاد والمؤن للثوار فبدأت تركيا ببناء الجدار وتحصينه.

----------------

قديروف عميل روسيا يرسل جواسيس إلى سوريا

نقلت وكالة فرانس برس تصريح رئيس الشيشان رمضان قديروف تنشره محطة "روسيا 1" أنه يتم إرسال جواسيس من جمهوريته إلى سوريا لاختراق صفوف تنظيم الدولة الإسلامية ومساعدة الطيران الروسي على قصف المواقع التي يتواجد فيها المقاتلون العاملون على إسقاط النظام السوري. وتبث المحطة الروسية تصريحات قديروف كاملة يوم 2016/2/10، وقد ذكر فيها: "لقد آن الأوان للحديث عن هؤلاء الذين يؤمّنون ميدانيا نجاح مهمة الطيران الروسي مجازفين بحياتهم". وذكر أنه أرسل أفضل رجاله لاختراق التنظيم وذلك لجمع معلومات حول عدد مقاتلي التنظيم وهوياتهم وتساعد الطيران الروسي في تحديد أهدافه. ولكنه اعترف قائلا: "للأسف سجلنا خسائر لكنهم، أي رجاله، يعلمون أين يذهبون لقد توجهوا إلى هناك لكي نتمكن من العيش بهدوء في أراضي جمهورية الشيشان وفي روسيا بمجملها". ويذكر أن حوالي ألفين و900 مقاتل من مسلمي منطقة القفقاس يقاتلون في صفوف تنظيم الدولة الإسلامية.   

ويذكر أن الطيران الروسي قتل من أبناء المسلمين في سوريا منذ بداية هذا الشهر خلال 10 أيام أكثر من 500 شخص، حيث قتلت روسيا عشرات الآلاف من أهل سوريا المسلمين منذ بدء عدوانها البغيض عليهم في نهاية أيلول العام الماضي، في غطاء جوي لتسهيل عدوان القوات الإجرامية من النظام السوري وإيران وحزبها في لبنان وعصاباتها من العراق وغيرها على أهل سوريا، وخدمة منها لأمريكا لتمكنها من فرض حلها السياسي على أهل سوريا وإنهاء ثورتهم المباركة، حيث عجزت أمريكا وحلفاؤها وعملاؤها أن يركّعوا هذا الشعب الأبي الذي قال لن نركع إلا لله.

---------------

الهند تنفذ دوريات بحرية مع أمريكا ضد الصين

أعلن يوم 2016/2/10 أن أمريكا نفذت دوريات بحرية مشتركة مع الهند، فقال مسؤول في وزارة الدفاع الأمريكية أن "هذه الدوريات قد تضمنت بحر الصين الجنوبي" وذلك في خطوة ستغضب الصين التي تدّعي أنها صاحبة السيادة في هذا البحر، والتي تقوم بتوسيع الجزر الصغيرة في هذا البحر، حيث وسعت سبع جزر في أرخبيل سبراتلي لتبني مطارات وموانئ ولتبحث عن النفط والغاز في البحر المتنازع على الحدود البحرية والجزر الصغيرة المنتشرة فيه بين الدول المطلة عليه، ومنها بلاد إسلامية كإندونيسيا وماليزيا وبروناي التي لديها القدرة على أن تأخذ زمام المبادرة وتمنع أمريكا والصين من فرض السيادة على هذا البحر، وتسخّره لصالح الأمة الإسلامية.

وتعمل أمريكا على توحيد مواقف الدول المطلة على البحر ضد الصين، ولكن بعضها لا يسير إلى النهاية مع أمريكا، فتريد تحسين علاقاتها مع الصين. فتجد أمريكا ضالتها في الهند التي لا تطل على البحر الواقع في المحيط الهادئ، وإنما تطل الهند على المحيط الهندي ليتجاوز عملها مجال منطقتها. ولكنها وقد أصبحت تتبع أمريكا منذ وصول حكومة جاناتا عام 2014 برئاسة مودي، فتعمل أمريكا على تسخيرها في المنطقة في مواجهة الصين حيث توجد بينهما خلافات حول مناطق برية احتلتها الصين من الهند، ولم تنفذ الهند مع أية دولة دوريات مشتركة حتى الآن، وقد حاولت تبرير ذلك بقول الناطق باسم بحريتها إنه "لا يوجد تغير في سياسة الحكومة التي تشارك في الجهود العسكرية الدولية إلا تحت لواء الأمم المتحدة". وذلك في تبرير مناقض مقبول لما تفعله وهي تنفذ عمليات دورية مشتركة مع أمريكا! ويفهم من ذلك أن الهند في الحقيقة بدأت تنفذ سياسة أمريكا ولكنها تتخوف من توتر العلاقات مع الصين حيث سيصيبها الضرر من جراء عملها لصالح أمريكا. وقال المسؤول الأمريكي في وزراة الدفاع الذي رفض الكشف عن اسمه كما ذكرت وكالة رويترز: "إن الجانبين ناقشا الدوريات المشتركة التي يأمل الجانبان بتدشينها خلال العام. وأنه من المرجح أن تكون الدوريات في المحيط الهندي، حيث تلعب الهند دورا رئيسا إلى جانب بحر الصين الجنوبي".

وقد اتهمت الصين أمريكا بالسعي إلى الهيمنة البحرية باسم حرية الملاحة بعدما أبحرت مدمرة أمريكية على بعد أقل من 12 ميلا بحريا من جزيرة متنازع عليها على سلسلة جزر باراسيل في بحر الصين الجنوبي أواخر الشهر. وقد أجرت أمريكا تدريبات مشابهة في تشرين الأول من العام الماضي قرب إحدى الجزر الصينية الموسعة في الأرخبيل. والهند وأمريكا لا تطالبان بحق سيادة في بحر الصين الجنوبي ولكنهما تلتفان على الأمر فتقولان أنهما تدعمان حرية الملاحة والطيران هناك كما أعلنتا في بيان مشترك أثناء زيارة الرئيس الأمريكي أوباما للهند العام الماضي أي في كانون الثاني /2015.

والهند بدأت تعمل بأريحية لصالح أمريكا بعدما أمنت لها أمريكا حدودها مع الباكستان حيث سحبت الباكستان قواتها من هذه الحدود بناء على الأوامر الأمريكية، وأزالت هواجس الهند من هجوم باكستاني لتحرير كشمير من الاحتلال الهندي، ووجهت أمريكا النظام الباكستاني نحو الداخل لينشغل في محاربة شعبه تحت ذريعة محاربة الإرهاب.

More from Habari

Matamshi ya Netanyahu Kuhusu "Israeli Kubwa" ni Tangazo la Vita Ambayo Mikataba Inafutwa na Majeshi Yanaendeshwa Kwa Sababu Yake na Chochote Chini ya Hiyo ni Usaliti

Taarifa kwa Vyombo vya Habari

Matamshi ya Netanyahu Kuhusu "Israeli Kubwa" ni Tangazo la Vita

Ambayo Mikataba Inafutwa na Majeshi Yanaendeshwa Kwa Sababu Yake na Chochote Chini ya Hiyo ni Usaliti

Huyu hapa mhalifu wa kivita Netanyahu anatangaza waziwazi na bila tafsiri yoyote inayowafaa watawala wa Kiarabu wazembe na vinara wao, akisema katika mahojiano na kituo cha Kiebrania cha i24: "Niko kwenye dhamira ya vizazi na mamlaka ya kihistoria na kiroho, ninaamini sana maono ya Israeli Kuu, ambayo ni ile inayojumuisha Palestina ya kihistoria na sehemu za Jordan na Misri," na mhalifu Smotrich alikuwa amemtangulia kwa matamshi yale yale na kujumuisha sehemu za nchi za Kiarabu zinazoizunguka Palestina, pamoja na Jordan, na katika muktadha huo huo, adui namba moja wa Uislamu na Waislamu, Rais wa Amerika Trump, alimpa, mwanga wa kijani wa kupanuka, akisema kwamba "Israeli ni eneo dogo ikilinganishwa na vizuizi vikubwa vya ardhi, na nilijiuliza ikiwa inaweza kupata ardhi zaidi kwa sababu ni ndogo sana."

Tangazo hili linakuja baada ya tangazo la chombo cha Kiyahudi kuhusu nia yake ya kukalia Ukanda wa Gaza baada ya tangazo la Knesset la kuunganisha Ukingo wa Magharibi na kupanua ujenzi wa makazi, na hivyo kuhukumu suluhisho la mataifa mawili katika ardhi, na mfano wake ni tangazo la Smotrich leo kuhusu mpango mkubwa wa makazi katika eneo la "E1" na matamshi yake kuhusu kuzuia kuanzishwa kwa taifa la Palestina, ambayo yanaharibu matumaini yoyote ya taifa la Palestina.

Matamshi haya ni tangazo la vita, ambapo chombo hiki kilichoharibika kisingeweza kuthubutu kuyazungumza ikiwa viongozi wake wangepata mtu wa kuwaadabisha na kukomesha kiburi chao na kukomesha uhalifu wao unaoendelea tangu kuanzishwa kwa chombo chao na upanuzi wake kwa msaada wa Magharibi mkoloni, na usaliti wa watawala wa Waislamu.

Hakuna haja tena ya taarifa za kufafanua maono yake ya kisiasa ambayo yamekuwa wazi zaidi kuliko jua la mchana, na kile kinachoendelea ardhini na matangazo ya moja kwa moja ya mashambulizi ya chombo cha Kiyahudi huko Palestina na tishio la kukalia sehemu za nchi za Waislamu katika eneo la Palestina, pamoja na Jordan, Misri na Syria, na matamshi ya viongozi wake wahalifu, ni tishio kubwa ambalo halipaswi kuchukuliwa kama madai yasiyo na maana yanayokumbatiwa na wenye msimamo mkali katika serikali yake na kuonyesha hali yake mbaya, kama ilivyoelezwa katika taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Jordan, ambayo ilitosha, kama kawaida, kulaani matamshi haya, kama ilivyofanya baadhi ya nchi za Kiarabu kama vile Qatar, Misri na Saudi Arabia.

Vitisho vya chombo cha Kiyahudi, lakini hata vita vya mauaji ya kimbari vinavyofanya huko Gaza na kuunganishwa kwa Ukingo wa Magharibi na nia yake ya kupanuka, vinaelekezwa kwa watawala wa Jordan, Misri, Saudi Arabia, Syria na Lebanon, kama vile vinaelekezwa kwa watu wa nchi hizi; kwa upande wa watawala, umma umejua majibu yao ya juu zaidi, ambayo ni kulaani na kukemea na kutoa wito kwa mfumo wa kimataifa, na kuendana na makubaliano ya Amerika kwa eneo hilo licha ya ushiriki wa Amerika na Ulaya katika vita vya chombo cha Kiyahudi dhidi ya watu wa Palestina, na hawana chochote ila kuwatii, na hawana uwezo wa kuingiza hata tone la maji kwa mtoto huko Gaza, bila idhini ya Wayahudi.

Ama watu, wanasikia hatari na vitisho vya Wayahudi kama vya kweli na sio ndoto tupu kama wizara za mambo ya nje za Jordan na Kiarabu zinavyodai, kujiondoa katika majibu ya kweli na ya kivitendo kwao, na wanaona ukweli wa kinyama wa chombo hiki huko Gaza, kwa hivyo haifai kwa watu hawa, haswa watu wenye nguvu na ulinzi ndani yao, na haswa majeshi, kutokuwa na neno katika kujibu vitisho vya chombo cha Kiyahudi, asili ya majeshi, kama wakuu wao wa wafanyikazi wanavyodai, ni kulinda uhuru wa nchi yao, haswa wanapoona watawala wao wanakubaliana na maadui zao ambao wanatishia nchi yao kwa uvamizi, badala yake walipaswa kuwasaidia ndugu zao huko Gaza kwa miezi 22, kwa hivyo Waislamu ni taifa moja bila watu wanaogawanyika na mipaka au wingi wa watawala.

Hotuba maarufu za harakati na makabila katika kujibu vitisho vya chombo cha Kiyahudi, zinabaki kama mwangwi wa hotuba zao na kisha hupotea haraka, haswa zinapokubaliana na majibu matupu ya kulaani ya Wizara ya Mambo ya Nje na kuunga mkono mfumo ikiwa hatua ya kivitendo haitachukuliwa ambayo haimsubiri adui katika makazi yake bali inachukua hatua ya kumwangamiza na yeyote anayemzuia na wao, Mwenyezi Mungu alisema: ﴿Na kama ukiogopa hiana kutoka kwa watu, basi watupilie mbali kwa usawa. Hakika Mwenyezi Mungu hawapendi mahaini﴾ Na hakuna chini ya yule anayedai kuwa macho kwa chombo cha Kiyahudi na vitisho vyake kuliko kuchukua hatua dhidi ya mfumo kwa kufuta Mkataba wa Wadi Araba wa hiana, na kukata uhusiano wote na makubaliano nayo, vinginevyo chini ya hapo ni usaliti kwa Mungu, Mtume na Waislamu, hata hivyo, suluhisho la masuala ya Waislamu linabaki kwa kuanzisha dola yao ya Kiislamu juu ya mbinu ya Unabii, sio tu kwa ajili ya kuanzisha upya maisha ya Kiislamu bali pia kuondoa wakoloni na wale wanaowaunga mkono.

﴿Enyi mlio amini! Msiwafanye rafiki wa siri wasio kuwa katika nyinyi, hawawi wachoyo kukufanyieni ubaya, wanapenda mnapata shida. Chuki imekwisha dhihirika katika midomo yao, na yale wanayo yaficha vifua vyao ni makubwa zaidi. Tumekwisha kubainishia Ishara, kama mnajua.

Ofisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir

Katika Wilaya ya Jordan

Rada: Anayelalamika kwa Amani Anaadhibiwa, na Anayebeba Silaha, Anaua, na Kukanyaga Uadilifu Anagawiwa Mamlaka na Utajiri!

الرادار شعار

2025-08-14

Rada: Anayelalamika kwa Amani Anaadhibiwa, na Anayebeba Silaha, Anaua, na Kukanyaga Uadilifu Anagawiwa Mamlaka na Utajiri!

Na mwalimu/Ghada Abdel-Jabbar (Um Awab)

Wanafunzi wa shule za msingi katika mji wa Karima katika jimbo la Kaskazini walifanya, wiki iliyopita, maandamano ya amani kulaani kukatika kwa umeme kwa miezi kadhaa, katika majira ya joto kali, ambayo yalisababisha kuitwa kwa idara ya ujasusi ya jumla huko Karima katika eneo la Merowe kaskazini mwa Sudan, Jumatatu, walimu baada ya kushiriki katika maandamano kupinga kukatika kwa umeme kwa karibu miezi 5 katika eneo hilo. Mkurugenzi wa Shule ya Ubaid Allah Hammad, Aisha Awad, aliiambia Sudan Tribune kwamba "Idara ya Ujasusi ya Jumla ilimwita yeye na walimu wengine 6," na akasema kwamba idara ya elimu katika kitengo cha Karima ilitoa uamuzi wa kumhamisha yeye na wakala wa shule, Mashair Muhammad Ali, kwenda shule zingine ambazo ziko mbali na kitengo, kwa sababu ya ushiriki wao katika maandamano haya ya amani, na akaelezea kuwa shule ambayo yeye na wakala wa shule wamehamishiwa inahitaji kufika kwake kulipe shillingi elfu 5 kwa siku kwa usafiri, wakati mshahara wake wa kila mwezi ni shillingi elfu 140. (Sudan Tribune, 08/11/2025).

Maoni:


Mtu anayelalamika kwa amani kwa kusimama mbele ya ofisi ya afisa kwa heshima, na kuongeza mabango, akidai mahitaji rahisi zaidi ya maisha ya heshima, anaonekana kama tishio kwa usalama, kwa hivyo anaitwa, anachunguzwa, na anaadhibiwa kwa njia isiyoweza kuvumiliwa, lakini mtu anayebeba silaha na kushirikiana na nje, na anaua, na kukanyaga uadilifu, na anadai anataka kuondoa ubaguzi, mhalifu huyu anaheshimiwa, na kupewa wizara, na kupewa hisa na mgao katika mamlaka na utajiri! Je, hakuna mtu mwenye busara kati yenu?! Mnahukumu vipi?! Ni usumbufu gani katika mizani hii, na ni viwango gani vya haki vinavyopitishwa na wale walioketi kwenye viti vya utawala bila kujua wakati?


Hawa hawana uhusiano wowote na utawala, na wanaona kila kilio dhidi yao, na wanafikiri kwamba kuwatisha raia ndiyo njia bora ya kudumisha utawala wao!


Sudan, tangu kuondoka kwa jeshi la Uingereza, imekuwa ikitawala na mfumo mmoja wenye nyuso mbili, mfumo huo ni ubepari, na nyuso hizo mbili ni demokrasia na udikteta, na hakuna hata moja ya nyuso hizo mbili iliyofikia kile Uislamu umefikia, ambayo inaruhusu raia wote, Waislamu na makafiri, kulalamika juu ya ubaya wa huduma, na inaruhusu kafiri kulalamika juu ya utumiaji mbaya wa sheria za Kiislamu juu yake, na ni wajibu wa raia kumuwajibisha mtawala kwa uzembe wake, kama vile wanapaswa kuanzisha vyama kwa misingi ya Uislamu ili kumuwajibisha mtawala, kwa hivyo wako wapi hawa wenye ushawishi, ambao wanaendesha maswala ya raia na akili ya wapelelezi ambao wanawachukia watu, kutoka kwa msemo wa Al-Farouq, Mungu amridhie: (Mungu abariki yule anayenipa kasoro zangu)?


Ninahitimisha na hadithi ya Khalifa wa Waislamu Muawiya kuwa mfano kwa watu kama hawa wanaowaadhibu walimu kwa malalamiko yao, jinsi Khalifa wa Waislamu anavyowaona raia wake na jinsi anavyotaka wawe wanaume, kwa sababu nguvu ya jamii ni nguvu kwa serikali, na udhaifu wake na hofu yake ni udhaifu kwa serikali ikiwa wanajua;


Siku moja, mtu anayeitwa Jariya bin Qudama al-Saadi alimwingia Muawiya, ambaye alikuwa Amiri wa Waumini, na Muawiya alikuwa na mawaziri watatu kutoka kwa Kaisari wa Roma, Muawiya akamwambia: "Je, wewe si yule mwanaharakati na Ali katika misimamo yake yote?" Jariya akasema: "Acha Ali aende, Mungu aheshimu uso wake, hatujamchukia Ali tangu tulipompenda, wala hatujamdanganya tangu tulipomshauri." Muawiya akamwambia: "Ole wako, ewe Jariya, ulikuwa wa thamani gani kwa familia yako walipokupa jina la Jariya..." Jariya akamjibu: "Wewe ni wa thamani zaidi kwa familia yako, ambao walikupa jina la Muawiya, ambaye ni mbwa wa kike aliyepandwa na kuomboleza, hivyo mbwa waliomboleza." Muawiya akapiga kelele: "Nyamaza, huna mama." Jariya akajibu: "Bali unyamaze wewe, ewe Muawiya, nina mama aliyenizaa kwa panga ambazo tulikutana nazo, na tumekupa kusikia na utii ili utuhukumu kwa kile ambacho Mungu amekiteremsha, na ikiwa utatimiza, tutakutimizia, na ikiwa utataka, basi tumewaacha wanaume wagumu, na ngao ndefu, hawataacha kukudhuru au kukuudhi." Muawiya akamkemea: "Mungu asiongeze kama wewe." Jariya akasema: "Ewe huyu, sema mema, na ututunze, kwani mchungaji mbaya zaidi ni mwangamizi." Kisha akatoka akiwa amekasirika bila kuomba ruhusa.


Mawaziri hao watatu walimgeukia Muawiya, na mmoja wao akasema: "Kaisari wetu haongei na mmoja wa raia wake isipokuwa akiwa amepiga magoti, akiweka paji lake la uso kwenye miguu ya kiti chake cha enzi, na ikiwa sauti ya jamaa yake mkuu ingepaa, au uhusiano wake wa karibu ungelazimika, adhabu yake ingekuwa kukatwa kiungo kwa kiungo au kuchomwa moto, kwa hivyo vipi kuhusu bedui huyu mbaya na tabia yake mbaya, na amekuja kukutisha, kana kwamba kichwa chake ni cha kichwa chako?" Muawiya alitabasamu, kisha akasema: "Ninawatawala wanaume ambao hawaogopi lawama ya lawama katika haki, na kila mtu wangu ni kama huyu Bedui, hakuna hata mmoja wao anayemsujudia asiyekuwa Mungu, na hakuna hata mmoja wao anayekaa kimya juu ya dhuluma, na sina upendeleo kwa yeyote isipokuwa kwa uchaji Mungu, na nimemuumiza mtu kwa ulimi wangu, kwa hivyo alinilipa, na mimi ndiye niliyekuwa mwanzilishi, na mwanzilishi ndiye mnyonge zaidi." Waziri mkuu wa Roma alilia mpaka ndevu zake zikalowa, Muawiya akamuuliza sababu ya kulia kwake, akasema: "Tulidhani sisi ni sawa kwenu katika kinga na nguvu kabla ya leo, lakini kwa kuwa nimeona katika baraza hili kile nilichoona, ninaogopa kwamba mtapanua mamlaka yenu juu ya mji mkuu wa ufalme wetu siku moja..."


Siku hiyo ilikuja kweli, kwani Byzantium ilianguka chini ya mapigo ya wanaume, kana kwamba ilikuwa nyumba ya buibui. Je, Waislamu watarudi kuwa wanaume, wasioogopa lawama ya lawama katika haki?


Kesho ni karibu kwa yule anayeingoja, wakati utawala wa Uislamu unaporudi, maisha yanabadilika kabisa, na ardhi inaangazwa na nuru ya Bwana wake na ukhalifa ulioongoka kulingana na njia ya unabii.

Imeandikwa kwa ajili ya redio ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir
Ghada Abdel Jabbar - Jimbo la Sudan

Chanzo: Rada