Vito vya Thamarati - Sina kwako njia ila tumaini
Ee Mola wangu dhambi zangu zikikithiri kwa wingi ... Nimejua kuwa msamaha wako ni mkuu zaidi
Ee Mola wangu dhambi zangu zikikithiri kwa wingi ... Nimejua kuwa msamaha wako ni mkuu zaidi
Katika hatua inayolenga kushughulikia kuzorota kwa kasi kwa uchumi, (kama inavyodaiwa) kamati ya dharura ya kiuchumi, inayoongozwa na Waziri Mkuu wa mpito, Dkt. Kamel Idriss, ilitangaza kifurushi cha maamuzi mapya kumi yanayolenga kudhibiti utendaji wa kifedha na kuimarisha utulivu wa kiwango cha ubadilishaji wa fedha kwa pauni ya Sudan, ambayo inaendelea kushuka tangu kuanza kwa vita mnamo Aprili 2023, ambapo kiwango cha ubadilishaji wa dola katika soko sambamba kilifikia takriban pauni 3,400, ongezeko la zaidi ya 700% ikilinganishwa na kipindi kilichotangulia mzozo. Miongoni mwa maamuzi ya kamati ya dharura,
Jimbo la Tunisia: Toleo la 557 la Gazeti la Ukombozi Latolewa
Ardhi Iliyobarikiwa: Somo la Msikiti "Thumama bin Uthal Anapiga Mzingiro wa Kiuchumi dhidi ya Makka!"
Televisheni ya Al-Waqiyah: Akida ya Uislamu ni akida ya kiroho!
Katika kazi mbili tofauti; Vijana wa Hizb ut-Tahrir katika mji wa Al-Abyad walifanya siku ya Jumamosi, 2025/9/6, na katika mazingira ya kampeni iliyoandaliwa na Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan ili kufeli mpango wa kuipasua Sudan; Kwa kuitenganisha Darfur, na kwa kuzingatia kwamba umoja wa umma ni suala la hatima, ambalo hatua ya maisha au kifo inachukuliwa, vijana wa Hizb ut-Tahrir huko Al-Abyad katika kazi ya kwanza walipeleka wito mkali kwa Waislamu wa makundi mbalimbali; Kutoka kwa wanasiasa, wanahabari, wanazuoni, maafisa, na askari, wakiwataka kutekeleza wajibu wao wa kisheria kuzuia kujitenga kwa Darfur,
Kwa kutoa agizo kuu, Donald Trump alibadilisha jina la Wizara ya Ulinzi ya Marekani rasmi kuwa Wizara ya Vita. Hili halikuwa tu badiliko la jina; lakini lilifichua waziwazi akili ya uchokozi ya nguvu za kikoloni na sera zao za kigeni zinazotegemea uvamizi. Ambapo Trump alieleza wazi: "Ulinzi ni wa kujihami sana ... lakini tunataka pia kuwa wakali."
Vita vinavyoendelea na kuleta maafa huko Gaza tangu tarehe 7 Oktoba 2023 vimeathiri kila nyanja ya maisha, binadamu, miti, mawe na rasilimali, hasa wanawake na watoto, na kifo na uharibifu vimeenea kila mahali. Kulingana na Wizara ya Afya huko Gaza, vita hivyo vimesababisha vifo vya watu zaidi ya 63,000, na kujeruhi wengine karibu 160,000, pamoja na makazi ya mamia ya maelfu ya watu, huku kukiwa na mgogoro mkubwa wa kibinadamu unaojumuisha uhaba wa chakula, dawa na maji safi ya kunywa.
Katika tweet ya mhariri mkuu wa gazeti maarufu la Akhbar Al-Youm, Profesa Ahmed Al-Bilal Al-Tayeb, mwanahabari mashuhuri, anasema: (Baada ya takriban saa kumi kupita tangu Hamedti alipoapa huko Nyala, kama Rais wa serikali ya uanzishwaji, nasema katika sentensi moja ya huzuni: Tunataka au hatutaki, tumependa au hatukupenda, tumekubaliana au hatukukubaliana, tumeongeza tukio au tumelidharau, nawaambia wale waliopiga kelele za shangwe, na wale waliodhihaki, na wale waliounga mkono, na wale waliopinga, kwaheri Sudan iliyoungana! Kwa masikitiko makubwa, mgawanyiko wa pili umeanza kivitendo nchini Sudan, baada ya mgawanyiko wa kwanza chungu wa Sudan Kusini, na sitaongeza).
Ripoti: Google yatiliana saini mkataba wa dola milioni 45 na Netanyahu kuuza mauaji ya halaiki huko Gaza