Habari za Hivi Punde 2025/09/08M
· Zaidi ya mashahidi 500 na majeruhi huko Gaza kutokana na mauaji na njaa inayoendelea
· Zaidi ya mashahidi 500 na majeruhi huko Gaza kutokana na mauaji na njaa inayoendelea
Kongamano la masuala ya Umma la kila mwezi lenye kichwa: (Mpango wa Marekani wa Kuikata Darfur na Jinsi ya Kuufelisha) lilifanyika leo Jumamosi, 14 Rabi' al-Awwal 1447 Hijria, sawa na 06/09/2025 Miladia, katika ofisi ya Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan katika mji wa Port Sudan. Katika karatasi ya kwanza iliyokuwa na kichwa: (Mzozo huko Darfur na mipango ya kafiri mkoloni ya kuitenganisha), Ustadh Naser Reda - mkuu wa kamati ya mawasiliano mkuu ya Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan, alianza mazungumzo yake na historia kuhusu Darfur, kama ufalme wa zamani, uliokuwa ukiitwa Ufalme wa Darfur,
Pamoja na Qur'ani Tukufu - Surah Al-Imran
Tunakusalimuni nyote wapenzi wasikilizaji popote mlipo, tunakutana nanyi katika kipindi kipya cha kipindi chenu "Pamoja na Hadithi Tukufu za Mtume" tunaanza kwa salamu bora na njema, basi Amani iwe juu yenu pamoja na rehema za Mwenyezi Mungu na baraka zake, na baada ya hayo:
Kutoka kwa maneno na majibu ya Amir wa Hizb ut-Tahrir, Mwanachuoni Mkuu Ata bin Khalil Abu al-Rashtah
Habari:
Mfululizo wa Vipindi - Jinsi Ukhalifa Ulivyoangushwa - Sehemu ya 8
Ni vyema kuzingatia hapa kwamba fikra ya Kiislamu inatofautisha kati ya mamlaka na nguvu. Mamlaka ni kusimamia masuala na maslahi kulingana na hukumu maalum, na nguvu ni chombo cha utekelezaji, kudumisha utaratibu na usalama. Jeshi na polisi ni nguvu, wakati mtawala ana jukumu la kusimamia maslahi, kwa hivyo yeye ni mamlaka.