Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Fahamuni Enyi Waislamu! - Kipindi cha Nane

Fahamuni Enyi Waislamu! - Kipindi cha Nane

Fahamuni Enyi Waislamu: Kwamba Khalifa anamiliki mamlaka zifuatazo: Yeye hufuata hukumu za kisheria muhimu kwa ajili ya kutunza masuala ya umma zilizotolewa kwa ijtihadi sahihi kutoka katika Kitabu cha Mwenyezi Mungu na Sunna za Mtume wake, na hivyo kuwa sheria ambazo ni wajibu kuzitii na haijuzu kwenda kinyume nazo. Yeye ndiye anayehusika na siasa za ndani na nje za dola kwa pamoja. Yeye ndiye anayechukua uongozi wa jeshi na ana haki ya kutangaza vita, kufanya suluhu, usitishwaji wa mapigano na mikataba mingine,

Nafasi za Matunda - Ukweli wa Toba

Nafasi za Matunda - Ukweli wa Toba

Basi hakika (Toba) ni kurejea kwa Mwenyezi Mungu kwa kuzingatia kufanya anayopenda na kuacha anayochukia, basi ni kurejea kutoka katika machukizo kwenda kwenye mapenzi, basi kurejea kwenye mapenzi ni sehemu ya jina lake na kurejea kutoka kwenye machukizo ni sehemu nyingine, na kwa ajili ya hili amefungamanisha Subhaanahu mafanikio kamili na kutenda yaliyoamrishwa na kuacha yaliyokatazwa nayo, akasema: {NA TUBUNI KWA MWENYEZI MUNGU NYOTE ENYI WAUMINI, ILI MPATE KUFANIKIWA}

Rada: Uingereza Inatoa Machozi ya Mamba Juu ya Kile Kinachotokea Fashir!

Rada: Uingereza Inatoa Machozi ya Mamba Juu ya Kile Kinachotokea Fashir!

Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza, Evette Cooper, alisema kwamba jumuiya ya kimataifa imeweza kupata maendeleo yanayoonekana katika kusimamisha mapigano huko Gaza, lakini imeshindwa kukabiliana na mzozo wa kibinadamu unaozidi kuwa mbaya nchini Sudan, na Cooper alisisitiza wakati wa hotuba yake katika Mkutano wa Majadiliano wa Manama 21 huko Bahrain kwamba mizozo ya kikanda katika Mashariki ya Kati imekuwa imeunganishwa zaidi kuliko hapo awali, akionyesha kuwa matokeo yake yanaenea hadi usalama na uchumi wa kimataifa. (Al-Jazeera 11/1/2025)

17 / 10603