Marekani Yataka Kurekebisha Ramani ya Njia ya Mgogoro wa Yemen kwa Kuwavua Silaha Wahouthi
Habari:
Habari:
Himdi ni ya Mwenyezi Mungu Mola wa walimwengu, na sala na salamu zimwendee imamu wa wachamungu, na bwana wa mitume, aliyetumwa kuwa rehema kwa walimwengu, bwana wetu Muhammad na kwa Aali zake na Masahaba zake wote, na utujaalie kuwa pamoja nao, na utukusanye katika kundi lao kwa rehema yako Ewe Mwingi wa Rehema.
Fahamuni Enyi Waislamu: kwamba ni lazima yatimie katika Khalifa masharti saba ili astahiki Ukhalifa, na hata bay'a imfuate katika Ukhalifa.
Kijana mmoja alimwendea sheikh na kumuuliza: Mimi ni kijana mdogo na nina matamanio mengi, na siwezi kujizuia kuwatazama watu na wasichana sokoni, nifanye nini?
Vyombo vya habari vimeripoti habari za uhalifu wa kutisha uliofanyika katika mji wa Al-Fashir nchini Sudan, ikiwa ni pamoja na mauaji, ubakaji na uhamishaji ambao umesababisha maelfu ya familia kuyahama makazi yao.
Baada ya Sudan Kusini kujitenga na kaskazini mnamo 2011, eneo la Abyei liliachwa likiwa linazozaniwa na haikuamuliwa uhusiano wake na upande wowote; Kusini na Kaskazini, ambapo ilitarajiwa kuwa kura ya maoni ingefanyika Abyei mnamo 2011, sambamba na kura ya maoni ya Sudan Kusini, kuamua uhusiano wa eneo hilo na Kaskazini au Kusini, lakini kura ya maoni haikufanyika, kwa sababu ya mzozo kati ya nchi hizo mbili kuhusu ni nani anayestahili kupiga kura katika kura ya maoni!
Amerika inataka kuigawanya Sudan chini ya kivuli cha suluhu ya amani kwa mzozo
Baada ya Sudan Kusini kujitenga na Kaskazini mwaka 2011, eneo la Abyei liliachwa likiwa linazozaniwa na umiliki wake haukuamuliwa kwa upande wowote; Kusini na Kaskazini, ambapo ilitakiwa kufanyika kura ya maoni ya Abyei mwaka 2011, sambamba na kura ya maoni ya Sudan Kusini, ili kuamua umiliki wa eneo hilo kwa Kaskazini au Kusini, lakini kura ya maoni haikufanyika,
Televisheni ya Al-Waqiyah: Alisema Mpenzi ﷺ "Hakika Mwenyezi Mungu ni mzuri, hakubali ila kilicho kizuri"
Televisheni ya Al-Waqiyah: Kutoka Farao hadi leo... Nani shujaa katika sherehe?