Rada: Hotuba Kali huko Port Sudan: Hizb ut-Tahrir Yawataka Majeshi ya Kiislamu Kuchukua Hatua Kuokoa Gaza na Kuangusha Taasisi ya Ukaliaji!”
Msemaji Rasmi wa Hizb ut-Tahrir katika Jimbo la Sudan, Ibrahim Othman (Abu Khalil), alitoa hotuba ya kusisimua mbele ya Msikiti wa Kale katika jiji la Port Sudan, ambapo alitoa wito wa dharura kwa Waislamu, haswa majeshi ya umma na viongozi wake, kuwaokoa ndugu zao huko Gaza kutoka kwa ukatili wa uvamizi wa Kizayuni. Hotuba inabeba ujumbe wa onyo: "Damu ya Gaza iko juu ya shingo zenu!"