Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Jarida la Ar-Raya: Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 557

Jarida la Ar-Raya: Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 557

Hakika wito wa kusimamisha Khilafah Rashidah kwa njia ya Utume ambayo Hizb ut Tahrir inafanyia kazi, unavuka mipaka bandia iliyochorwa na ukoloni kati ya nchi za Waislamu baada ya kuibomoa Khilafah Uthmaniyyah, ni wito wa ulimwengu mzima kwa Waislamu wote duniani; bali na kushikamana na kamba ya Mwenyezi Mungu madhubuti, basi ni uongozi mkuu kwao, na Hizb imeandaa kwake rasimu ya katiba iliyo istinbat kutoka Kitabu na Sunnah, yenye kujumuisha vifungu katika uchumi, siasa za nje, vita, jamii, elimu, afya, fedha na kila kinachohitajika kwa utekelezaji kivitendo kuanzia siku ya kwanza ya kuisimamisha kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, ambayo dalili zake zimeanza kudhihirika na umati wa Waislamu unazitamani.

207 / 10603