Misingi ya Elimu ya Kimfumo katika Dola ya Ukhalifa - Sehemu ya 11 - Aina za Vifaa vya Kufundishia
Misingi ya Elimu ya Kimfumo katika Dola ya Ukhalifa - Sehemu ya 11 - Aina za Vifaa vya Kufundishia
Misingi ya Elimu ya Kimfumo katika Dola ya Ukhalifa - Sehemu ya 11 - Aina za Vifaa vya Kufundishia
Msururu wa "Uongozi na Ukhalifa katika Fikra ya Kiislamu" - Mwandishi na Mwanafikra Thair Salama – Abu Malik - Sehemu ya 11
Mbinu za Waarabu katika Usemi - 07
ALAMA YA YULE AMCHAYE MWENYEZI MUNGU MOYONI MWAKE
Shirika la Fedha la Kimataifa lilionya Jumatano, 2025/7/9, kwamba uchumi wa Iraq unakabiliwa na changamoto kubwa, na baraza la shirika hilo lilisema wakati wa kufunga mashauriano ya Kifungu cha Nne na Iraq katika taarifa yake kwamba kuna uwezekano wa kuimarisha mapato yasiyo ya mafuta kupitia ongezeko la kodi na ushuru wa forodha.
Televisheni ya Al-Waqiyah: Hotuba ya Ijumaa "Al-Madkhali na Kutukuza Giza!"
Haifichiki kwa yeyote kwamba uzembe huu unaoongezeka kwa kasi ambao tunaanza kuona kila mahali (kuwatukuza wachezaji wa mpira wa miguu, waimbaji, wachezaji densi, watu wasio na akili, waovu,... na kuwamwagia pesa nyingi, na kuwafanya nyota, mifano, na kielelezo), sio matokeo ya bahati, sio hatima iliyoamuliwa, wala matokeo ya asili katika ulimwengu wa mawasiliano ya kielektroniki, lakini ni matokeo ya upangaji na ujanja wa mashetani wanadamu usiku na mchana, na maandiko mengi yameonekana katika eneo hili yanayothibitisha hili, na hata yanaeleza nadharia, na kuweka misingi na mifumo ya kudhibiti watu, kuwashawishi, kuwashughulisha na...
Televisheni ya Al-Waqiyah: Maisha Yetu Ni Dhana!
Jimbo la Syria: Kuhifadhi Dola na Kuponda Mabaki!
Katika mwaka wa kumi na tatu wa utume, wawakilishi wa kabila la Aus na Khazraj waliokuja kutoka Yathrib kwenda Makka walimpa Mtume ﷺ ahadi ya utawala, vita na utiifu. Basi Mtume ﷺ alihama kwenda kwao ili kupokea utawala kutoka kwao kwa mujibu wa ahadi hiyo. Na kwa kufika kwake ﷺ Madina na kuanza kwake hatua za utawala na mamlaka, lilianzishwa taifa la kwanza la Kiislamu, juu ya msingi mpya ambao ni itikadi ya Kiislamu, na akaanza ﷺ kulinda maslahi ya raia wake kwa sharia ya Mwenyezi Mungu ambayo ilianza kushuka na kuwepo kwa taifa hili, baada ya kuwa hakuna kilichoteremshwa kabla yake ila kidogo. Basi ulimwengu ulianza kulifahamu taifa jipya, lenye utambulisho mpya wa kistaarabu, na jamii yenye mfumo mpya wa maisha. Na macho ya ulimwengu yalizidi kuvutiwa na taifa hili kila lilipoongezeka kupanuka kwake, ambako kulifikia katika zama za dola ya Khilafa India