Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Mamlaka za Usalama katika Mji wa Al Qadarif Zawakamata Vijana wa Hizb ut Tahrir Kuinusuru Taasisi ya Kiyahudi!

Mamlaka za Usalama katika Mji wa Al Qadarif Zawakamata Vijana wa Hizb ut Tahrir Kuinusuru Taasisi ya Kiyahudi!

Kufuatia hatua ya vijana wa Hizb ut Tahrir katika mji wa Al Qadarif kuwahutubia halaiki katika soko la Al Qadarif, karibu na hospitali ya meno, jana Alhamisi tarehe 23 Dhul Hijja 1446 Hijria, sawia na 2025/6/19 Miladia, ambapo Ustadh Awad Muhajir, mwanachama wa Hizb ut Tahrir, alizungumzia uhalisia wa vita na taasisi ya Kiyahudi, na furaha ya Waislamu kwa kuipiga taasisi hii, na hamu ya watu ya kushinda taasisi hii inayokalia ardhi takatifu, msafara wa Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ, akisisitiza ulazima wa kusimamisha Khilafah Rashida kwa njia ya Utume,

272 / 10603