Abu Wadhah News: Marekani inataka kuonyesha ukafiri waziwazi na kujificha nyuma ya bango la Muslim Brotherhood!
Katika mahojiano na Al-Sharq Al-Awsat na mshauri mkuu wa Rais wa Marekani kuhusu masuala ya Kiarabu na Afrika, Musaad Boulos, yaliyochapishwa tarehe 28/10/2025, na katika jibu la swali alisema: (Kulikuwa na uelewa na mwitikio kutoka kwa jeshi la Sudan, na tuliona hatua zilizochukuliwa na serikali ya Sudan katika wiki za hivi karibuni, hatua zilizo wazi sana, hakuna haja ya kuingia ndani yake sasa, lakini suala hili ni mstari mwekundu kwa Marekani, na nadhani ni mstari mwekundu kwa wanachama wengine wa mataifa manne.