Pamoja na Quran Tukufu - Sura Al-Kahf
Pamoja na Quran Tukufu - Sura Al-Kahf
Pamoja na Quran Tukufu - Sura Al-Kahf
Tunawasalimu nyote wapenzi wetu popote mlipo, katika kipindi kipya cha kipindi chenu "Pamoja na Hadithi Tukufu" na tunaanza na salamu bora, Assalamu Alaikum Warahmatullahi Wabarakatuh.
Habari:
Habari:
Habari:
Alhamdulillah Mola Mlezi wa walimwengu, na sala na salamu zimwendee Imamu wa wacha Mungu, na Bwana wa Mitume, aliyetumwa kama rehema kwa walimwengu, Bwana wetu Muhammad na ahli zake na masahaba zake wote, na tujaalie kuwa pamoja nao, na utukusanye katika kundi lao kwa rehema yako, Ee Mrehemu zaidi wa wote wenye kurehemu.
Fahamuni Enyi Waislamu: Kwamba mfumo wa utawala katika Uislamu si demokrasia, kwani demokrasia ndani yake kuna sheria kwa ajili ya watu, inahalalisha na inaharamisha, inaboresha na inaharibu, na ndani yake hakuna kujifunga na hukumu za kisheria kwa jina la uhuru,
Alikuwa Al-Hasan Al-Basri, Mwenyezi Mungu amrahamu, akisema: Watu watatu hawana ghibah: Mwenye ufasiki anayejitangaza kwa ufasiki wake, kutajwa hayo kutoka kwake, na mwenye uzushi, kutajwa kwa uzushi wake, na imamu dhalimu kutajwa kwa dhuluma yake.
Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan, ilifanya kongamano la kila mwezi la masuala ya umma, lenye kichwa: (Al-Fashir Kituo Kigumu Zaidi katika Mzozo wa Kimataifa kuhusu Sudan), siku ya Jumamosi, tarehe 10 Jumada al-Ula 1447 Hijria, sawia na 01/11/2025 Miladia, katika ofisi yake huko Port Sudan. Walizungumza katika kongamano hilo: Ustadh Muhammad Jami' Abu Ayman - Msaidizi wa Msemaji Rasmi wa Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan, na Ustadh Ibrahim Musharraf - Mwanachama wa Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan.
Hizb ut-Tahrir Al-Islami - Jimbo la Sudan - ilisisitiza kwamba kuundwa kwa serikali ni hatua ya juu kwa ajili ya kujitenga kwa Darfur ambayo ilianza kupangwa mapema, na kuongeza kuwa Amerika inataka kuigawanya nchi hiyo katika mataifa madogo 5 na msemaji rasmi wa chama Ibrahim Othman (Abu Khalil) alitarajia katika mahojiano na (News)