Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Abu Wadaha News: Kongamano la Masuala ya Umma katika Ofisi ya Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan

Abu Wadaha News: Kongamano la Masuala ya Umma katika Ofisi ya Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan

Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan, ilifanya kongamano la kila mwezi la masuala ya umma, lenye kichwa: (Al-Fashir Kituo Kigumu Zaidi katika Mzozo wa Kimataifa kuhusu Sudan), siku ya Jumamosi, tarehe 10 Jumada al-Ula 1447 Hijria, sawia na 01/11/2025 Miladia, katika ofisi yake huko Port Sudan. Walizungumza katika kongamano hilo: Ustadh Muhammad Jami' Abu Ayman - Msaidizi wa Msemaji Rasmi wa Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan, na Ustadh Ibrahim Musharraf - Mwanachama wa Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan.

26 / 10603