Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Lebanon wamtembelea Mhe. Mbunge Dkt. Osama Saad

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Lebanon wamtembelea Mhe. Mbunge Dkt. Osama Saad

Katika kivuli cha mashambulizi ya Kimarekani dhidi ya Lebanon na eneo zima kwa njia ya kuhalalisha uhusiano na kujisalimisha, na juhudi za Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Lebanon za kukabiliana na mashambulizi haya, ujumbe kutoka kwa chama hicho ulifanya ziara siku ya Jumatatu, 2025/10/27, uliowakilishwa na wanachama kutoka kamati ya mawasiliano ya kati na kamati ya shughuli katika eneo la kusini, kwa Mhe. Mbunge Dkt. Osama Saad, katika ofisi yake katika mji wa Saida.

35 / 10603