Rada: Hizb ut-Tahrir Wilaya ya Sudan Yatoa Taarifa Muhimu kwa Vyombo vya Habari
Baada ya uongozi wa jeshi kushindwa kuinusuru mji wa Al-Fashir, ambao umekuwa ukizingirwa tangu Mei 10, 2024, ambapo mashambulizi 266 yalizuiwa dhidi ya mji huo, hatimaye ilitangazwa siku ya Jumapili, Oktoba 26, 2025, kwamba mji huo ulikuwa umeanguka mikononi mwa Kikosi cha Msaada wa Haraka, ambacho kilitumia nguvu zake kushambulia mji huo kutoka pande tano, kikitumia misafara mikubwa ya magari ya kivita, magari yenye silaha, ndege zisizo na rubani, na askari wa miguu, kikisaidiwa na mamluki kutoka nchi kadhaa; kutoka Colombia, Chad, Sudan Kusini, na Afrika ya Kati,