Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Vipi Trump awe Mwenye Ustadi katika Kuzima Vita Wakati Nchi Yake Ndiye Chanzo Chake?!

Vipi Trump awe Mwenye Ustadi katika Kuzima Vita Wakati Nchi Yake Ndiye Chanzo Chake?!

Mnamo 12 Oktoba 2025, Trump alisema: "Nasikia sasa kuna vita inayoendelea kati ya Pakistan na Afghanistan. Nilisema: "Nitasubiri hadi nitakaporudi". Nitapigana vita nyingine, kwa sababu nina ustadi wa kuzima vita." Trump ni mwongo mwenye kiburi. Kwa hakika, mfumo wa kilimwengu wa kilimwengu na utaifa ambao Trump analazimisha ndio sababu ya vita vinavyowaka kati ya Waislamu, huku akihakikisha muungano na maadui wakubwa wa Waislamu.

Abu Wadaha News: Hizb ut-Tahrir Wilaya ya Sudan Inaendelea na Mihadhara Yake ya Umma

Abu Wadaha News: Hizb ut-Tahrir Wilaya ya Sudan Inaendelea na Mihadhara Yake ya Umma

Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan, ilifanya mhadhara wa kisiasa katika mji wa Port Sudan, Jumatatu hii, 21 Rabi' al-Thani 1447 Hijria, sawa na 2025/10/13, yenye kichwa: (Kujisalimisha kwa kafiri mkoloni na mashirika yake ni usaliti kwa umma), katika uwanja wa Hoteli ya Haramain katika Soko Kuu katika mji wa Port Sudan. Alizungumza Ustadh Muhammad Jami Abu Ayman, msaidizi wa msemaji rasmi wa Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan.

54 / 10603