Mkutano wa Sharm El-Sheikh Kutangaza Ushindi Dhidi ya Umma, Kudhibitisha Utiifu na Kuimarisha Ukaliaji
Baada ya tangazo la Trump kuhusu ushindi ambao alisema yeye na mwanafunzi wake, taasisi ya Kiyahudi, walipata katika hotuba yake mbele ya Knesset, ushindi huo ulikuwa dhidi ya raia wasio na hatia, wanawake, watoto, wazee, na dhidi ya miti na mawe, mchinjaji wa Gaza alielekea kwenye mkutano uliopangwa na Sisi, wakala wake nchini Misri, na akawaalika wote waliopanga njama dhidi ya ardhi iliyobarikiwa. Mkutano huo ulifanyika katika jiji la Sharm El-Sheikh mnamo 2025/10/13, chini ya kichwa "Mkutano wa Amani wa Sharm El-Sheikh", ulihudhuriwa na zaidi ya nchi ishirini na mashirika ya kimataifa,