Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Janga la Gabes, Mhanga wa Chaguo za Dola ya Kisasa ﴿NA ANAPOGEUZA MGONGO, HUFANYA BIDII KATIKA NCHI ILI AHALIFU HUKO, NA KUANGAMIZA MAZAO NA WATU, NA ALLAH HAPENDI UHALIFU﴾

Janga la Gabes, Mhanga wa Chaguo za Dola ya Kisasa ﴿NA ANAPOGEUZA MGONGO, HUFANYA BIDII KATIKA NCHI ILI AHALIFU HUKO, NA KUANGAMIZA MAZAO NA WATU, NA ALLAH HAPENDI UHALIFU﴾

Maandamano ya watu wa Gabes kusini mwa Tunisia yanaendelea kutokana na sumu zinazotoka kwenye kiwanda cha kemikali, ambacho kimegeuza jiji hilo kuwa eneo lililoathirika kimazingira na kiafya, na kuathiri moja kwa moja afya ya wakazi wa Gabes na maliasili zake, hivyo saratani na magonjwa ya kupumua yameenea, na mambo yamefikia hatua ya kukosa hewa mara kwa mara miongoni mwa wanafunzi. Miongo kadhaa ya ahadi za uongo na kupuuzwa kwa makusudi kumefanya Gabes kuwa ishara ya ubaguzi na uchafuzi, ambapo utajiri wa phosphate umegeuka kutoka baraka kuwa laana kutokana na sera za dola ya kisasa ambayo ilichagua faida ya haraka na maslahi ya makampuni makubwa kwa gharama ya afya ya watu na haki yao ya kuishi maisha ya heshima.

Uzbekistan: Risala ya rambirambi kwa mbeba da'wa Mirza Ahmadov Miraziz

Uzbekistan: Risala ya rambirambi kwa mbeba da'wa Mirza Ahmadov Miraziz

Kwa masikitiko makubwa tunamtangazia umma wetu wa Kiislamu mwana mwingine miongoni mwa wana wao wacha Mungu waliosimama imara, na hatumsafishi yeyote mbele ya Mwenyezi Mungu. Ndugu yetu Mirza Ahmad Miraziz amefariki siku ya Ijumaa, Oktoba 10, 2025, na swala ya jeneza iliswaliwa jana, Jumamosi. Miraziz alizaliwa Tashkent mwaka 1970. Alikuwa mmoja wa maelfu ya Waislamu waaminifu na jasiri walioitikia wito wa Hizb ut-Tahrir kwa watu wa Uzbekistan kufanya kazi ya kurejesha maisha ya Kiislamu.

Sera ya Elimu Kati ya Kushindwa kwa Dola ya Kisasa na Mtazamo wa Ukhalifa Rashidun

Sera ya Elimu Kati ya Kushindwa kwa Dola ya Kisasa na Mtazamo wa Ukhalifa Rashidun

Sera ya elimu nchini Tunisia imefeli, kama moja ya nguzo za dola ya kisasa, na mageuzi ya mara kwa mara hayajafaulu nayo. Watoto wetu wamekuwa mkiani mwa orodha ya kimataifa, na shule zetu na vyuo vikuu viko nje ya viwango, huku makumi ya maelfu ya wanafunzi wakiacha shule kila mwaka na kutupwa mitaani, ili waweze kufyonzwa na ukosefu wa ajira, dawa za kulevya, boti za mauti na makundi ya uhalifu yaliyopangwa, mpaka kila mtu anashuhudia ufisadi wa mtaala wa elimu na kushindwa kwa matokeo yake, pamoja na kuwanyanyasa walimu na kuwaacha katika ngazi ya chini ya mshahara.

62 / 10603