Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Rada: Lini tutaacha kuingiliwa na Magharibi makafiri na mashirika yake ya kikoloni katika maisha yetu, na kuelekeza nyuso zetu kwa Mungu Mmoja, Mwenye hukumu?

Rada: Lini tutaacha kuingiliwa na Magharibi makafiri na mashirika yake ya kikoloni katika maisha yetu, na kuelekeza nyuso zetu kwa Mungu Mmoja, Mwenye hukumu?

Chini ya udhamini wa shirika la Ufaransa la Promediation, vyama vya Sudan viliandaa warsha huko Port Sudan, kama ilivyo katika tovuti ya Sudan Tribune mnamo 5/10/2025 BK: (Msemaji wa kambi ya Demokrasia, Muhammad Zakaria, alisema kuwa warsha hiyo "inajadili jinsi ya kufanya mazungumzo ya Sudan na Sudan, pande zake, mahali pa mkutano, jukumu la upatanishi, na masuala ya ufadhili." Alieleza kuwa warsha hiyo itafuatiwa na hatua zingine kwa lengo la kufikia makubaliano kati ya idadi kubwa zaidi ya nguvu za kisiasa nchini, ili kufikia utulivu na kuepuka migogoro na mitafaruku hasi).

65 / 10603