Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Thamani za Matunda - Uimamu: Uongozi Mkuu, na Uongozi Kamilifu

Thamani za Matunda - Uimamu: Uongozi Mkuu, na Uongozi Kamilifu

 Amesema Abu Al-Ma'ali Al-Juwayni (katika Ghiyath Al-Umam): "Uimamu: Uongozi mkuu, na uongozi kamilifu, unaohusiana na watu maalum na watu wa kawaida katika masuala muhimu ya dini na dunia, ukijumuisha kuhifadhi eneo na kuwatunza raia, na kusimamisha wito kwa hoja na upanga, na kuzuia uovu na dhuluma, na kuwapatia haki wanyonge kutoka kwa madhalimu, na kudai haki kutoka kwa wanaokataa na kuzitoa kwa wanaostahiki... Ikiwa imethibitika kuwa ni wajibu kumteua Imamu, basi kile ambacho wameelekea kwacho wanazuoni wengi ni kwamba ulazima wa kuteua unatokana na sheria iliyopokelewa...".

Mauaji na Njaa ya Watoto wa Gaza Haitaisha kwa Mipango ya Wanao Husika na Mauaji ya Kimbari, Bali kwa Kusonga Mbele kwa Majeshi ya Waislamu

Mauaji na Njaa ya Watoto wa Gaza Haitaisha kwa Mipango ya Wanao Husika na Mauaji ya Kimbari, Bali kwa Kusonga Mbele kwa Majeshi ya Waislamu

Katika kipindi cha miaka miwili iliyopita, watu wa Gaza wamekuwa wakikabiliwa na mashambulizi ya mara kwa mara, mzingiro wa kikatili, na uhalifu mbaya zaidi mikononi mwa adui muovu wa Kiyahudi, ambapo wanawake na watoto walikuwa wahanga wakuu. Watu 65,000 wameuawa, wakiwemo zaidi ya watoto 20,000, sawa na watoto 30 kwa siku. Watoto waliuawa kwa makusudi na risasi za wanajeshi wa Kiyahudi au moto wa ndege zisizo na rubani mitaani, au hata walipokuwa wanatafuta chakula katika vituo vya misaada ambavyo vimekuwa "mitego ya mauti" kwa wenye njaa. Kulingana na Shirika la Save the Children,

64 / 10603