Jarida la Al-Raya: Uchaguzi wa Bunge la Watu Kati ya Uhakika na Wajibu
Syria ilishuhudia, Jumapili tarehe 5 Oktoba, uchaguzi wa kwanza wa bunge baada ya kuondolewa madarakani kwa utawala wa Assad, na uchaguzi haukujumuisha mikoa yote ya Syria, haswa kutokana na kuendelea kwa mkwamo wa kisiasa katika suala la Suwaida na maeneo yanayodhibitiwa na Qasd, na msukumo wa Amerika wa kulazimisha hali mpya ambayo inawahudumia na kuwanyima watu wa mapinduzi matunda ya dhabihu zao.