Koshi News: Neno la Msemaji Rasmi wa Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan
(Taarifa ya Nchi Nne na Ukosefu wa Utawala) Mawaziri wa mambo ya nje wa kile kinachoitwa Nchi Nne, ambazo ni Amerika, Saudi Arabia, Falme za Kiarabu, na Misri, walitoa taarifa kuhusu Sudan, ambayo mambo muhimu zaidi yaliyomo ni: 1- Usitishaji wa mapigano ya kibinadamu kwa miezi mitatu ili kuwezesha kuingia kwa misaada ya kibinadamu, ambayo inaongoza mara moja kusitisha mapigano ya kudumu. 2- Uzinduzi wa mchakato wa mpito jumuishi na uwazi, unaokamilika ndani ya miezi tisa, kuelekea kuanzishwa kwa serikali ya kiraia yenye uhalali.