Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Jimbo la Sudan - Mji wa Kosti, Nile Nyeupe Wakutana na Dkt. Muhammad Al-Haitham, Katibu Mkuu wa Chama cha National Unionist katika Jimbo la Nile Nyeupe
Siku ya Ijumaa, 2025/9/12, ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/Jimbo la Sudan ulifanya ziara kwa Dkt. Muhammad Al-Haitham, Katibu Mkuu wa Chama cha National Unionist, katika jengo la Azraq Taiba huko Kosti.