Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Gazeti la Ar-Raya: Tofauti Kubwa Kati ya Taarifa ya Istanbul na Fatwa Zilizotangulia!

Gazeti la Ar-Raya: Tofauti Kubwa Kati ya Taarifa ya Istanbul na Fatwa Zilizotangulia!

Wanazuoni walikusanyika katika ukarimu wa Erdoğan mwishoni mwa kongamano lao walilo liita "Gaza ni jukumu la Kiislamu na kibinadamu" lililo fanyika Istanbul kwa muda wa siku sita, walitoa taarifa ya mwisho ambayo waliifungua kwa aya za maandalizi na jihadi katika njia ya Mwenyezi Mungu mpaka yule anaye soma alidhani kwamba yale yatakayo kuja baada ya hapo kutoka kwa vifungu na maamuzi hayatakuwa ila ni taarifa ya kivitendo ya jinsi ya kujihusisha mara moja katika jihadi ambayo haimuokoi Gaza tu bali inakomboa Palestina na Msikiti wa Al-Aqsa.

Jarida la Al-Raya: Mada Mbalimbali za Al-Raya – Toleo la 564

Jarida la Al-Raya: Mada Mbalimbali za Al-Raya – Toleo la 564

Suala la Palestina haliwiakilishwi na shirika wala halimilikiwi na ukoo, bali ni suala la umma mzima, na watu wa Palestina hawana haki zaidi kuliko Waislamu wengine ndani yake, na vivyo hivyo wajibu dhidi yake. Ni suala la dini na itikadi, na suala la ardhi iliyobarikiwa, ambayo haitatatuliwa kwa taifa dhaifu kati ya makucha ya uvamizi, bali itaokolewa na mikono ya waumini wa kweli kutoka katika umma wa Muhammad ﷺ, ili irudi kama ilivyokuwa ua la Sham na mnara wake, na iwe makao makuu ya Uislamu kama alivyotabiri Mtume ﷺ.

Shirika la Kiyahudi ndilo tatizo kubwa katika nchi za Waislamu na wanaoliunga mkono ndio tatizo kubwa zaidi duniani; Ewe Trump!

Shirika la Kiyahudi ndilo tatizo kubwa katika nchi za Waislamu na wanaoliunga mkono ndio tatizo kubwa zaidi duniani; Ewe Trump!

Vyombo vya habari vimeeneza kauli ya Rais wa Marekani Donald Trump kuhusu Gaza, ambayo anasema: "Gaza ni tatizo kubwa kwa "Israel" na Mashariki ya Kati." Hatujasikia yeyote kati ya watawala wa Ruwaibidha katika nchi za Waislamu akijibu maneno yake, na kumwambia: Kwamba shirika la Kiyahudi linalonyakua ardhi ndilo tatizo kubwa zaidi katika nchi za Waislamu, na kwamba ninyi ndio mnaoipa mashine ya kivita na msaada wa kisiasa na kiuchumi; basi ninyi ndio tatizo kubwa zaidi katika ulimwengu mzima, kwani msimamo wenu wa kibepari ndio sababu ya umaskini wa ulimwengu,

119 / 10603