Tafakari juu ya Kitabu: "Miongoni mwa Vipengele vya Saikolojia ya Kiislamu" - Kipindi cha Kumi
Himdi zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola wa walimwengu, na sala na salamu zimwendee imamu wa wacha Mungu, na bwana wa mitume, aliyetumwa kuwa rehema kwa walimwengu, Bwana wetu Muhammad na Aali zake na Masahaba zake wote, na utujaalie kuwa pamoja nao, na utukusanye katika kundi lao kwa rehema yako, Ewe Mwenye kurehemu kuliko wote wenye kurehemu.