Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Kuanguka kwa Al-Fashir Kunaharakisha Mpango wa Marekani wa Kuitenga Darfur

Kuanguka kwa Al-Fashir Kunaharakisha Mpango wa Marekani wa Kuitenga Darfur

Vikosi vya Msaada wa Haraka vilitangaza asubuhi ya Jumapili, 26/10/2025, udhibiti wao wa Al-Fashir, baada ya kuzingirwa kwa zaidi ya mwaka mmoja, ambayo inamaanisha kuenea kwa ushawishi wao juu ya majimbo yote matano ya Darfur, na kugawanyika kwa nchi kati ya mashariki inayodhibitiwa na Jeshi la Sudan, na magharibi chini ya udhibiti wa Msaada wa Haraka. Inafahamika kuwa udhibiti wa Vikosi vya Msaada wa Haraka juu ya Al-Fashir ni zaidi ya ushindi katika vita dhidi ya mji, lakini ni udhibiti wa mkoa mzima kwa njia ya kushangaza.

14 / 10603