Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Rada: Mkataba wa Kimataifa Ikiwa Mwadilifu Ataiba, Huachwa, Na Ikiwa Mnyonge Ataiba, Anaadhibiwa!!

Rada: Mkataba wa Kimataifa Ikiwa Mwadilifu Ataiba, Huachwa, Na Ikiwa Mnyonge Ataiba, Anaadhibiwa!!

Mtaalamu wa Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya haki za binadamu nchini Sudan, Radwan Nweisser, aliwasili Port Sudan siku ya Jumapili, 27/07/2025, na mara moja akaanza mikutano na maafisa, ikiwa ni pamoja na Wizara ya Mambo ya Nje, ambayo ilisema katika taarifa yake kwamba Nweisser "aliwasilisha vipaumbele vya ziara yake wakati wa mkutano, ambayo ni pamoja na kufuatilia haki inayohusiana na vita, programu za kurudi kwa hiari kwa wakimbizi wa ndani na wakimbizi, na kuwezesha uwasilishaji wa misaada ya kibinadamu." (Sudan Tribune, 27/7/2025)

Rada: Ushindi na Usalama Havitatimia Ila Kwa Kuzingatia Maagizo ya Mwenyezi Mungu

Rada: Ushindi na Usalama Havitatimia Ila Kwa Kuzingatia Maagizo ya Mwenyezi Mungu

Waziri mpya wa Wakfu wa Sudan, Bashir Haroun Abdel Karim, alianzisha kwa kutoa barua namba (1) kuutenga hotuba ya Ijumaa kwa ajili ya kuunga mkono vikosi vya jeshi na kusaidia maeneo yaliyozingirwa. Yeye ni kiongozi katika harakati ya Jeshi la Ukombozi wa Sudan na mwanachama wa Kamati ya Uongozi ya Muungano wa Sudan, na uteuzi wake ulikuja ndani ya mgawo mpya wa harakati za silaha katika serikali ya matumaini inayoongozwa na Kamel Idriss kama sehemu ya utekelezaji wa mkataba wa Juba wa kugawana madaraka na harakati za silaha.

Radaa: Hizb ut-Tahrir Wilaya ya Sudan Yatoa Taarifa Muhimu kwa Wanahabari

Radaa: Hizb ut-Tahrir Wilaya ya Sudan Yatoa Taarifa Muhimu kwa Wanahabari

Watoto watatu wamefariki katika jimbo la Khartoum, baada ya kupata dozi ya chanjo ya surua, na Wizara ya Afya imeanzisha uchunguzi kuhusu mazingira ya vifo vya watoto hao. Sudan Tribune ilipata habari za vifo vya watoto wawili ndani ya saa ya kwanza, baada ya kupokea dozi ya chanjo dhidi ya surua, huku mtoto wa tatu akifariki siku tisa baada ya kujaribu kumsaidia katika hospitali ya Al-Balak huko Omdurman. (Sudan Tribune, Agosti 5, 2025).

Msururu wa "Ukhalifa na Uimamu katika Fikra ya Kiislamu" na Mwandishi na Mwanafikra Thaeer Salama - Abu Malik- Sehemu ya 39 -

Msururu wa "Ukhalifa na Uimamu katika Fikra ya Kiislamu" na Mwandishi na Mwanafikra Thaeer Salama - Abu Malik- Sehemu ya 39 -

Ijmai inayozingatiwa kuwa ni sheria ni ijmai ya Masahaba pekee, kwa sababu ya uhusiano wao na Mtume ﷺ na kunukuu kwao dalili kutoka katika Sunna waliyoishi nayo kupitia kuishi kwao na kushuka kwa Wahyi, kwa hivyo Sunna ndiyo dalili, na wao wananukuu Sunna waliyoishi nayo, kwa hivyo ijmai yao imefichua dalili, ama wale waliokuja baada yao hawakuishi naye, kwa hivyo hawana chembe ya mawasiliano na Mtume ﷺ.

Katiba ya Kimataifa Ikiwa Mwadilifu Ameiba Humwachi, Na Ikiwa Mdhambi Ameiba Humsimamishia Adhabu!!

Katiba ya Kimataifa Ikiwa Mwadilifu Ameiba Humwachi, Na Ikiwa Mdhambi Ameiba Humsimamishia Adhabu!!

Siku ya Jumapili, 2025/07/27, mtaalamu wa Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya haki za binadamu nchini Sudan, Radwan Nweisser, alifika Port Sudan, na mara moja akaanza mikutano na maafisa, akiwemo Wizara ya Mambo ya Nje, ambayo ilisema katika taarifa yake kwamba Nweisser "alipitia vipaumbele vya ziara yake wakati wa mkutano, ambayo ni pamoja na kufuatilia haki zinazohusiana na vita, programu za kurudi kwa hiari kwa wakimbizi wa ndani na wakimbizi, na kuwezesha ufikishaji wa misaada ya kibinadamu." (Sudan Tribune, 2025/7/27)

175 / 10603