Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Rada: Taarifa kwa Vyombo vya Habari.. Sehemu ya Wanawake katika Afisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir Yazindua Kampeni ya Ulimwengu yenye Kichwa: "Vita vya Sudan: Kisa cha Ukoloni, Usaliti, na Kukata Tamaa"

Rada: Taarifa kwa Vyombo vya Habari.. Sehemu ya Wanawake katika Afisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir Yazindua Kampeni ya Ulimwengu yenye Kichwa: "Vita vya Sudan: Kisa cha Ukoloni, Usaliti, na Kukata Tamaa"

Vita vya kikatili nchini Sudan kati ya Vikosi vya Wanajeshi vya Sudan vinavyoongozwa na mtawala wa Sudan, Jenerali Abdel Fattah al-Burhan, na Vikosi vya Msaada wa Haraka vinavyoongozwa na Mohammed Hamdan Dagalo "Hemedti", naibu wa zamani wa Burhan katika Baraza la Utawala, vimeingia mwaka wake wa tatu sasa, na kusababisha vifo vya makumi ya maelfu ya raia.

Jarida la Ar-Raya: Kongamano la Kimataifa la Amani huko New York. Yale ambayo Wayahudi hawajafanikisha kwa silaha, wanayafanikisha kwa njama!

Jarida la Ar-Raya: Kongamano la Kimataifa la Amani huko New York. Yale ambayo Wayahudi hawajafanikisha kwa silaha, wanayafanikisha kwa njama!

Kongamano la Kimataifa kuhusu suluhu ya amani ya suala la Palestina na utekelezaji wa suluhu ya mataifa mawili, lililofanyika New York kati ya tarehe 28-30 Julai 2025, likiongozwa kwa pamoja na Saudi Arabia na Ufaransa, liliandaa taarifa ya mwisho yenye kichwa "Azimio la New York," iliyoainisha makubaliano ya kuchukua "hatua madhubuti" na "zinazohusiana na muda na zisizoweza kurejeshwa" ili kusuluhisha suala la Palestina.

Jarida la Ar-Raya: Uvamizi wa Taasisi Tawala katika Ardhi ya Sham Mtazamo wa Kisheria

Jarida la Ar-Raya: Uvamizi wa Taasisi Tawala katika Ardhi ya Sham Mtazamo wa Kisheria

Waislamu waliishi karne kumi na tatu chini ya bendera moja na dola moja, na licha ya vipindi vya kushuka na kudorora ambavyo vilikumba dola hii, hukumu za kisheria zilibaki zimeunganishwa nayo kila wakati, na juu ya hukumu hizi kulikuwa na hukumu ya jihad, ambayo inawakilisha kuanzisha mapigano na makafiri ili kuinua neno la Mungu na kueneza wito, lakini Waislamu walipitia vipindi vya udhaifu ambapo makafiri waliwavamia katika nchi zao, kama ilivyotokea kwa Mtume ﷺ na masahaba zake katika vita vya Uhud na Handaki.

Jarida la Ar-Raya: Mkutano wa 25 wa Umoja wa Ulaya na China Je, ulimaliza tofauti zao?

Jarida la Ar-Raya: Mkutano wa 25 wa Umoja wa Ulaya na China Je, ulimaliza tofauti zao?

Mkutano wa Umoja wa Ulaya na China ulifanyika Beijing tarehe 2025/7/24 kuadhimisha kumbukumbu ya miaka hamsini ya uhusiano wao. Rais wa China Xi aliufungua kwa msimamo mkali dhidi ya Wazungu, akisema "China sio chanzo cha changamoto za sasa zinazoikabili Ulaya. Hakuna mgongano wa maslahi kati ya China na Umoja wa Ulaya, na hakuna tofauti za kimsingi za kijiografia". Jambo linaloonyesha kina cha tofauti kati ya pande hizo mbili. Na kwa hivyo aliwataka kuelewana, akisema: "Kadiri hali ya kimataifa inavyozidi kuwa hatari na ngumu, ndivyo inavyowalazimu viongozi wa China na Ulaya kuongeza mawasiliano, kuimarisha uaminifu wa pande zote, na kuimarisha ushirikiano.

Jarida la Ar-Raya: ASEAN 2045: Njia Kuelekea Mustakabali au Kuimarisha Utawala wa Kibepari wa Kimataifa?

Jarida la Ar-Raya: ASEAN 2045: Njia Kuelekea Mustakabali au Kuimarisha Utawala wa Kibepari wa Kimataifa?

Mkutano wa 46 wa Jumuiya ya Mataifa ya Kusini-Mashariki mwa Asia (ASEAN), uliofanyika Mei 26 na 27, 2025 huko Kuala Lumpur, chini ya kauli mbiu ya "Ujumuishaji na Uendelevu," ulimalizika kwa mfululizo wa matangazo na mipango mikakati ambayo ilionyeshwa kama juhudi za kujenga mustakabali wa kikanda jumuishi, imara na endelevu. "Azimio la Kuala Lumpur kuhusu ASEAN 2045: Mustakabali Wetu wa Pamoja" liliunda hati kuu ya marejeleo, likiweka ramani ya barabara iliyoenea kwa miaka ishirini, ikijumuisha vipimo vya kisiasa, usalama, kiuchumi, kijamii na kidijitali (ASEAN, 2025).

Jarida la Al-Raya: Hatari ya uwekezaji wa kigeni nchini Syria kwa uhuru wake na uamuzi wake

Jarida la Al-Raya: Hatari ya uwekezaji wa kigeni nchini Syria kwa uhuru wake na uamuzi wake

Mkutano wa Uwekezaji wa Saudi na Syria ulifanyika mnamo 2025/7/24, ukiwa na idadi kubwa ya wafanyabiashara kutoka Saudi Arabia hadi Damascus chini ya uongozi wa Mohammed bin Salman, mrithi wa mfalme wa Saudi Arabia, na mikataba 47 yenye thamani ya dola bilioni 4-6 ilisainiwa, na idadi ya maafisa wa Saudi walisema kuwa hatua hii itakuwa hatua ya mwanzo wa mtiririko wa uwekezaji nchini kwa lengo la kukuza uchumi wake na kuunda ushirikiano wa uwekezaji wa kimataifa ili kuvutia uwekezaji nchini Syria.

Jarida la Ar-Raya: Mseto wa Ar-Raya – Toleo la 559

Jarida la Ar-Raya: Mseto wa Ar-Raya – Toleo la 559

Enyi wana wa umma wa Kiislamu: Mna nini kama maiti hamuhamki?! Ndugu zenu wanawaomba msaada, wanaomba msaada, mnafanya nini? Au mmeridhika na kuwaombea tu?! Je, mmeshindwa au mmefungamana na maisha na mnaogopa kifo?! Iko wapi mapenzi yenu kwa dini yenu na hamu yenu ya shahada, au mnakataa kushinda mojawapo ya mazuri mawili?! Je, mmezoea kuona matukio ya mateso na mauaji na mmekuwa mkimudu kutonusuru?! Je, hamna ari ya waaminifu na wanyoofu inayowaamsha na kuhamasisha msukumo mmoja ambao unakatisha mizizi ya wahalifu na kuwanusuru wanyonge?!

179 / 10603