Mmeshutumu kwa miaka 77, haitoshi?! Na je, mmebaki na mistari myekundu ambayo haijavukwa?
Mkuu wa Idara ya Mawasiliano katika Ikulu ya Uturuki, Burhanettin Duran, alilaani vikali uvamizi uliofanywa na baadhi ya mawaziri katika shirika la Kiyahudi pamoja na makundi yenye misimamo mikali katika Msikiti wa Al-Aqsa chini ya ulinzi wa polisi. Duran alisema katika taarifa yake: "Kama alivyosisitiza Rais wetu, Bwana Recep Tayyip Erdoğan, Msikiti wetu wa Al-Aqsa, kibla chetu cha kwanza, ni mstari wetu mwekundu" (TV 24, 2025/08/04).