Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Jarida la Al-Raya: Siri ya umuhimu wa eneo la mpaka wa pande tatu kati ya Misri, Sudan na Libya kwa wakati huu ni nini?!

Jarida la Al-Raya: Siri ya umuhimu wa eneo la mpaka wa pande tatu kati ya Misri, Sudan na Libya kwa wakati huu ni nini?!

Mji mkuu wa Misri, Cairo, uliandaa mkutano wa ngazi ya juu kati ya maafisa kutoka Misri, Libya na Sudan, ili kubadilishana mawazo juu ya changamoto na maendeleo ya kiusalama katika eneo hilo, kulingana na ripoti za vyombo vya habari, na ingawa hakuna taarifa rasmi iliyotolewa kuhusu mazungumzo hayo, chanzo cha habari cha Misri kililiambia " Mashariki ya Kati", kwamba lengo kuu la mkutano huo lilikuwa kujadili kuundwa kwa utaratibu wa pamoja kati ya nchi hizo tatu, kudhibiti usalama katika eneo la mpaka wa pande tatu, na kudumisha utulivu wa hali hiyo.

Jarida la Ar-Raya: Kuundwa kwa kikosi kipya cha usalama nchini Pakistan

Jarida la Ar-Raya: Kuundwa kwa kikosi kipya cha usalama nchini Pakistan

Pakistan ilitangaza, Jumatatu, Julai 14, 2025, kuundwa kwa kikosi kipya cha usalama ambacho majukumu yake ni pamoja na kukabiliana na fujo, jambo ambalo limeibua hofu miongoni mwa vyama vya upinzani na makundi ya haki za binadamu kwamba kitatumika kuwakandamiza wanasiasa, wakati ambapo wafuasi wa kiongozi wa chama cha Harakati ya Insaf Imran Khan, ambaye amekamatwa, wanajiandaa kuandamana katika kumbukumbu ya miaka miwili ya kukamatwa kwake. Waziri wa Nchi wa Pakistan anayeshughulikia masuala ya ndani, Talal Chaudhry alisema "Hiki ni kikosi kipya ambacho kitakuwa na msimamo mkali zaidi. Tunahitaji kikosi hiki ili kudumisha usalama wa ndani". (Al-Jazeera Net)

Jarida la Al-Raya: Matamshi ya Tom Barrack Kuhusu Kurejea kwa Lebanon Kuwa Sehemu ya Biladi ash-Sham!

Jarida la Al-Raya: Matamshi ya Tom Barrack Kuhusu Kurejea kwa Lebanon Kuwa Sehemu ya Biladi ash-Sham!

Mnamo 2025/7/12 BK, kupitia mahojiano yake na gazeti la Arab News, Barrack alifichua kwamba Marekani ilirahisisha mazungumzo ya siri kati ya Lebanon na shirika la kiyahudi ghasibu, akisema: "Marekani ilirahisisha mazungumzo ya chinichini kati ya Lebanon (na Israel), mambo yanaenda kwa kasi ya ajabu!", na alitangaza kuwepo kwa mawasiliano kati ya utawala mpya nchini Syria na Wayahudi, akisema: "Nimeona kuwa Syria inasonga mbele kwa kasi ya umeme ili kutumia fursa ya kihistoria iliyotolewa na kuondolewa kwa vikwazo..

Jarida la Ar-Raya: Moto katika Sentra ya Ramses ni picha nyingine ya kuporomoka kwa dola ya kiraia

Jarida la Ar-Raya: Moto katika Sentra ya Ramses ni picha nyingine ya kuporomoka kwa dola ya kiraia

Katika muda mfupi, maelfu ya mawasiliano yalisimama, mtandao wa intaneti ulikatika, maisha ya mamilioni ya Wamisri yalitatizika, na ukweli uliofichwa nyuma ya kuta za sentra ya Ramses ulifichuliwa mbele ya macho ya watu. Lakini tukio hilo halikuwa tu moto, bali lilikuwa ushahidi tosha wa ufisadi wa mfumo mzima, kushindwa kwa dola iliyopo, na kuongezeka kwa uzembe katika nguzo za taasisi. Moto huo ulionyesha bila shaka kwamba mfumo uliopo hauwajali watu, bali ni mazingira mazuri ya ufisadi, uzembe na kuporomoka mara kwa mara.

Jarida la Al-Raya: Marekani Inaitumia vibaya Uzbekistan Kutimiza Malengo yake ya Kimataifa ya Kijiografia na Kisiasa

Jarida la Al-Raya: Marekani Inaitumia vibaya Uzbekistan Kutimiza Malengo yake ya Kimataifa ya Kijiografia na Kisiasa

Kulingana na mwandishi wa shirika la habari la Dunia, vyombo vya habari vikuu vya taasisi ya Kiyahudi vinaendelea kutilia maanani sana kukuza uhusiano wa kiuchumi kati yake na Uzbekistan. Hasa, tovuti inayoongoza ya "Bhol.co.il" ilichapisha uchunguzi wa uandishi wa habari kuhusu uzoefu wa mfanyabiashara Myahudi ambaye alifanikiwa kutekeleza mradi wa uwekezaji katika eneo la Namangan.

Jarida la Al-Raya: Mada Mbalimbali za Al-Raya – Toleo la 558

Jarida la Al-Raya: Mada Mbalimbali za Al-Raya – Toleo la 558

Ni wajibu kwa jeshi la Sudan kuanza mara moja kuunganisha nguvu zote za silaha zilizosambaa nchini, chini ya bendera yake pekee, ili kuifanya kuwa nguvu moja imara, yenye uwezo wa kulazimisha mamlaka ya dola, kisha kulisaidia Hizb ut-Tahrir kusimamisha Khilafah Rashidah ya pili kwa mujibu wa manhaj ya utume, na kuunganisha umma kwa msingi wa Uislamu mkuu, na kutekeleza hukumu za Kiislamu, na kung'oa ushawishi wa kafiri mkoloni kutoka nchi yetu, na kutoka nchi zote za Waislamu.

Marekani ni Dola ya Kikoloni; na Kukubali Sera Zake za Forodha Kunatishia Utawala wa Taifa!

Marekani ni Dola ya Kikoloni; na Kukubali Sera Zake za Forodha Kunatishia Utawala wa Taifa!

Amerika, ambayo ni mtangazaji wa kimataifa wa ubepari, ilizindua "dhoruba ya forodha" ulimwenguni kote, ikipuuza kanuni za uchumi huria, moja ya misingi muhimu ya fikra za kibepari, na pia sheria na kanuni zilizowekwa na Shirika la Biashara Ulimwenguni ambalo iliianzisha yenyewe. Hii inathibitisha tena kuwa mfumo wa kibepari ni mfumo usio wa kibinadamu na wa unyonyaji. Serikali ya mpito nchini Bangladesh imepitisha sera ya kunyenyekea kama jibu kwa hatua za forodha za Amerika.

192 / 10603