Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Abu Wadaha News: Neno la Msemaji Rasmi wa Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan katika Mkutano na Waandishi wa Habari Leo huko Port Sudan

Abu Wadaha News: Neno la Msemaji Rasmi wa Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan katika Mkutano na Waandishi wa Habari Leo huko Port Sudan

Mkuu wa Baraza la Utawala, Abdel Fattah Al-Burhan, alitoa, Jumatatu, 19/05/2025, uamuzi wa kumteua afisa wa zamani wa Umoja wa Mataifa, Kamel Idriss, kuwa Waziri Mkuu, ili kuunda serikali ya teknolojia, na Al-Burhan alitoa uamuzi huo huo siku hiyo hiyo kufuta agizo la awali, linalohusu usimamizi wa wanachama wa Baraza la Utawala juu ya wizara za shirikisho, na vitengo vya serikali.

Kushi News: Msemaji Rasmi wa Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan "Hakuna serikali inayoleta matumaini isipokuwa chini ya Uislamu na Dola yake ya Khilafah"

Kushi News: Msemaji Rasmi wa Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan "Hakuna serikali inayoleta matumaini isipokuwa chini ya Uislamu na Dola yake ya Khilafah"

Mkuu wa Baraza la Utawala, Abdel Fattah al-Burhan, Jumatatu, 19/05/2025, alitoa uamuzi wa kumteua afisa wa zamani wa Umoja wa Mataifa, Kamel Idriss, kuwa Waziri Mkuu, kuunda serikali ya teknolojia. Siku hiyo hiyo, Al-Burhan alitoa uamuzi wa kufuta agizo la awali, la usimamizi wa wajumbe wa Baraza la Utawala juu ya wizara za shirikisho, na vitengo vya serikali.

213 / 10603