Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Neno la Msemaji Rasmi wa Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan Katika Mkutano na Wanahabari uliofanyika Jumamosi 2025/7/19 BK huko Port Sudan "Hakuna Serikali Inayotoa Matumaini Isipokuwa Chini ya Uislamu na Dola Yake ya Khilafah"

Neno la Msemaji Rasmi wa Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan Katika Mkutano na Wanahabari uliofanyika Jumamosi 2025/7/19 BK huko Port Sudan "Hakuna Serikali Inayotoa Matumaini Isipokuwa Chini ya Uislamu na Dola Yake ya Khilafah"

Mkuu wa Baraza la Utawala Abdel Fattah Al-Burhan, Jumatatu 2025/05/19, alitoa uamuzi wa kumteua afisa wa zamani wa Umoja wa Mataifa, Kamel Idris, kuwa Waziri Mkuu, kuunda serikali ya wataalamu, na Al-Burhan alitoa uamuzi huo huo siku hiyo hiyo kufuta agizo la awali, linalohusu usimamizi wa wanachama wa Baraza la Utawala juu ya wizara za shirikisho, na vitengo vya serikali.

212 / 10603