Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Jimbo la Sudan unafanya ziara mbili kwa wanasiasa huko Al-Abyad

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Jimbo la Sudan unafanya ziara mbili kwa wanasiasa huko Al-Abyad

Ujumbe, ukiongozwa na Al-Ustadh Al-Nadhir Muhammad Hussein Abu Minhaj, mwanachama wa baraza la Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Sudan, akifuatana na Al-Ustadh Muhi Al-Din Kajur, na Al-Ustadh Muhammad Saeed Boukeh, wanachama wa chama, kama sehemu ya kampeni ya chama kukwamisha mpango wa kutenganisha Darfur, siku ya Alhamisi 13/11/2025, walimtembelea Al-Ustadh Omar Hassan Badie Al-Zaman, kiongozi katika chama cha Dola ya Sheria na Maendeleo, ofisini kwake, ili kuelezea kampeni ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Sudan kukwamisha mpango wa kutenganisha Darfur, Al-Ustadh Omar alisema: Ninaona kuwa Hizb ut-Tahrir ni chama changu cha pili, na kwamba kufanya kazi ya kurejesha Ukhalifa ndio wasiwasi wetu wa kwanza,

Demokrasia haitakasi roho wala mali

Demokrasia haitakasi roho wala mali

Kwa mara nyingine tena, machafuko yaliyofuatia uchaguzi yalikumba Tanzania kwa siku kadhaa kuanzia Oktoba 29, 2025, na kusababisha vifo na uharibifu mkubwa wa mali za kibinafsi na miundombinu ya umma. Tangu uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi ulipofanyika nchini Tanzania mwaka 1995, kurudiwa kwa vurugu baada yake imekuwa jambo la mara kwa mara kila baada ya miaka mitano. Hata hivyo, ghasia za mwaka huu ni kubwa na zimeenea kiasi kwamba zimezidi ghasia za uchungu zilizotokea mwaka 2000, ambapo zaidi ya wafuasi 40 wa upinzani (United Front) waliuawa.

Enyi Waislamu: Mnawezaje kufurahia maisha huku wanawake huru wanateswa na heshima zao zinavunjwa katika magereza ya Wayahudi?!

Enyi Waislamu: Mnawezaje kufurahia maisha huku wanawake huru wanateswa na heshima zao zinavunjwa katika magereza ya Wayahudi?!

Kituo cha Palestina cha Haki za Binadamu kimefichua, kulingana na taarifa mpya zilizokusanywa na mawakili na watafiti wa kituo hicho kutoka kwa idadi ya wafungwa waliachiliwa kutoka Ukanda wa Gaza kutoka magereza na kambi za kizuizini za shirika la Wayahudi, juu ya utendaji wa kimfumo na uliopangwa wa mateso ya kingono, ikiwa ni pamoja na ubakaji, uchi, upigaji picha wa kulazimishwa, na unyanyasaji wa kingono kwa kutumia zana na mbwa.

6 / 10603