Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Neno la Msemaji Rasmi wa Hizb ut-Tahrir / Wilaya ya Sudan katika Mkutano na Waandishi wa Habari wenye kichwa: (Usitishaji wa Mapigano wa Nchi Nne na Hatari ya Mazungumzo Kulingana na Ustaarabu wa Magharibi)

Neno la Msemaji Rasmi wa Hizb ut-Tahrir / Wilaya ya Sudan katika Mkutano na Waandishi wa Habari wenye kichwa: (Usitishaji wa Mapigano wa Nchi Nne na Hatari ya Mazungumzo Kulingana na Ustaarabu wa Magharibi)

Tangu nchi nne; ambazo pamoja na Marekani, zinajumuisha Saudi Arabia, Misri na Falme za Kiarabu, zilipotangaza taarifa yao mnamo 12/9/2025 kuhusu mzozo wa Sudan, watu wengi nchini Sudan wamegawanyika katika makundi mawili; Kundi linalounga mkono taarifa ya nchi nne inayotoa wito wa mazungumzo na suluhu ya kisiasa, kwa hoja kwamba inaleta amani, na kundi lingine linasema linakataa yaliyomo katika taarifa ya nchi nne na linataka kuendeleza vita. Pamoja na ukweli kwamba pande zote mbili ni Waislamu, hawakufanya Uislamu kuwa msingi wa kuanzia kuamua misimamo yao, na ilikuwa ni lazima hilo litokee.

Je, mkono wa Wayahudi umeenea hadi Misri kuwaua wanasayansi? Swali linalofichua ukweli wa utegemezi na kuuweka uchi udhaifu wa mfumo wa kulinda nchi na watu.

Je, mkono wa Wayahudi umeenea hadi Misri kuwaua wanasayansi? Swali linalofichua ukweli wa utegemezi na kuuweka uchi udhaifu wa mfumo wa kulinda nchi na watu.

Tukio la mauaji ya mhandisi aliyebobea katika kemia ya nyuklia huko Alexandria halikuwa tu uhalifu wa kawaida, wala haliwezi kuwekwa katika kategoria ya "tofauti za kibinafsi" kwa urahisi kama mfumo wa Misri na vyombo vya habari rasmi vinavyojaribu kuonyesha. Muda, asili ya utaalam, njia ya utekelezaji, na mazingira ya kisiasa yanayozunguka yote yanatupeleka kuuliza maswali makuu ambayo mfumo unaepuka kuyajibu, bali unaogopa hata kuyazua. Maswali ambayo watu wanayouliza leo ni halali, bali ni wajibu: Je, mkono wa Wayahudi umeanza kuenea hadi Misri ili kuangamiza kile kilichosalia cha nguvu za kisayansi?

5 / 10603