Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Jibu kwa anayesema: Hotuba ya kiakili na hatua za kisiasa haziathiri uhalisia

Jibu kwa anayesema: Hotuba ya kiakili na hatua za kisiasa haziathiri uhalisia

Mlingano wa Mitume wote na wanaowafuata Manabii ni hukumu za kisheria wala si za kiakili, na zote zilikuwa kwa fikra na ulimi na miujiza. Lau asili ya da'wa ingekuwa ni kwa matendo ya kimwili, Muhammad ﷺ angelifanya kama sanamu za Makkah kama alivyofanya Ibrahimu hapo awali. Mwenyezi Mungu amesema: ﴿KWA KILA MMOJA TUMEMWEKEA SHERIA NA NJIA﴾, basi da'wa ya Nabii wetu ilikuwa kwa fikra, kuanzia kuwafahamisha watu itikadi ya Kiislamu na hukumu zake na kuunganisha waliyoamini, kisha kudhihirisha da'wa kwa watu wote na kuhutubia umma kwa matendo ya jumla kwa mapambano ya kiakili na harakati za kisiasa na kutafuta nusra. Basi Ansar walikumbatia fikra na wakaanzisha dola.

"Haki ya kujitawala" kulingana na matakwa ya wakoloni!

"Haki ya kujitawala" kulingana na matakwa ya wakoloni!

Ushawishi wa Magharibi kafiri mkoloni ulienea katika nchi za Waislamu, ukagawanya nchi, na kuzipasua vipande vipande kadhaa na kuzifanya zikatwe katwe, zilizoharibiwa pande zote, kipande hapa na kingine kule; kilichotokea Iraq kutokana na mgawanyiko na shirikisho la kikabila, na kilichotokea Pakistan kutokana na kutenganisha Mashariki na Magharibi, na kilichofanyika kwa kukata Timor ya Mashariki kutoka Indonesia, na kilichofanyika Sudan kwa kutenganisha Kusini na Kaskazini kwake, hadi nchi zilizogawanyika za Waislamu zinaelekea kwenye njia ya mgawanyiko na mtafaruku zaidi.

111 / 10603