Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Sudani News: Watu wa Al-Fashir Kati ya Nyundo ya Vita na Pasi ya Njaa, na Hakuna Wokovu kwao Ila Dola ya Khilafa Taarifa kwa Vyombo vya Habari kutoka Hizb ut-Tahrir Wilaya ya Sudan

Sudani News: Watu wa Al-Fashir Kati ya Nyundo ya Vita na Pasi ya Njaa, na Hakuna Wokovu kwao Ila Dola ya Khilafa Taarifa kwa Vyombo vya Habari kutoka Hizb ut-Tahrir Wilaya ya Sudan

Mji wa Al-Fashir, mji mkuu wa jimbo la Darfur Kaskazini, unashuhudia janga halisi la kibinadamu, huku kukiwa na mapigano kati ya pande zinazopigana, ambapo makumi ya raia wameuawa katika siku chache zilizopita, wakati wakazi wanakabiliwa na mzingiro mkali, kwa zaidi ya mwaka mmoja, na njaa ya makusudi, huku kukiwa na ukimya wa kimataifa wa kutisha, huku Umoja wa Mataifa ukithibitisha kuuawa kwa watu wasiopungua 89 katika mapigano ya siku za hivi karibuni.

Umma wa Kiislamu Kati ya Wahyi na Historia

Umma wa Kiislamu Kati ya Wahyi na Historia

Sisi ni umma wa Kiislamu ambao Mwenyezi Mungu amewachagua kutoka miongoni mwa mataifa mengine, akawahutubia kwa sifa kuu, akasema Subhanahu: ﴿Mlikuwa bora kuliko umma wowote uliotolewa kwa watu, mnaamrisha mema na mnakataza maovu na mnamuamini Mwenyezi Mungu﴾. Ubora huu si sifa ya kurithi wala zawadi ya kihistoria, bali ni kazi kubwa, ujumbe mkubwa, na wajibu wa taklifa; kuamrisha mema, kukataza maovu, na imani na jihadi. Umma ukitimiza wajibu wake, utakuwa umma bora, na ikiwa utapungukiwa, hautakuwa hivyo tena.

136 / 10603