Utambuzi wa Masharti wa Australia kwa Palestina ni Zawadi kwa Shirika la Kiyahudi kwa Mauaji ya Kimbari, na Sio Ushindi kwa Aliyeonewa
Waziri Mkuu wa Australia Anthony Albanese ametangaza rasmi utayari wa Australia kutambua taifa la Palestina. Amewasiliana kibinafsi na Mahmoud Abbas na Benjamin Netanyahu mapema, kana kwamba anataka kuwatuliza wahalifu wanaohusika na miongo kadhaa ya uhalifu kabla ya kufanya uamuzi.